Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
We dogo huwa unanivunja sana mbavu 😂😂UZI WA MAPEMA HVI HATA KIBU DE HAJAPIGA MSWAKI
ANY WAY KILA LA KHERI SIMBA
NGUVU MOJA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We dogo huwa unanivunja sana mbavu 😂😂UZI WA MAPEMA HVI HATA KIBU DE HAJAPIGA MSWAKI
ANY WAY KILA LA KHERI SIMBA
NGUVU MOJA
[emoji817][emoji1545][emoji1548][emoji817]Mpaka sasa dalili zinaonekana mnyama kuua majitu leo.
Leo mnaongea kinyonge sanaTuyape muda. Wakati ukitimia yatajulikana
Hapo mwamba ni wydad pekee maana ni bingwa mtetezi,ANAKOMBE,Simba umwamba katolea wapi Kwa kombe LIPI?Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ile game ngumu na ambayo inafuatiliwa kwa ukaribu sana na watu wote wapenda soccer la africa, game ya robo final ya caf champions league baina ya miamba kwelikweli, timu zenye misuli ya kutosha, Simba sports club vs Wydad athletic club. Ni palepale machinjioni ambapo yeyote akitia maguu pale, hutoka vichwa chini miguu juu.
Hakika mnyama anaitaka hii mechi na hayupo tayari kuona anagota robo final pekee.
Wachezaji mahiri wa mnyama wote watakuwepo kutupa raha watz wote na bila shaka leo kila mtu ataishabikia
simba sports club.
Wanalunyasi.
Taifa kubwa.
Samba loketo.
Mwana kulitaka.
Mwana kulipata.
Wazee wa kidedea.
Timu iliyobarikiwa na MUNGU na inayosakata kabumbu lililothibitishwa na caf na kufurahiwa vilivyo na fifa mpaka kupelekea sikukuu ya eid icheleweshwe hapa nchini kwetu pekee ili kuingoja mechi hii ya kibabe.
Nikuanzia saa 10:00 jioni, tuwe wote mwanzo mpaka mwisho kwa updates zote.
Eid mubarakh
Nawaonea huruma tuWewe badala ya kufocus na waarabu waliokuja kula sikukuu kwa mkapa unaweweseka na Yanga
Ni kwa wengi sana mkuu ipo ivo. bora wewe imeandika is restricted in your area. Sisi wengine ukifika muda wa game za caf chaneli inapotea kabisa huioni hata kwenye list.Azam Tv Max ni janga la kitaifa, najaribu kustream live hapa zbc 2 inaandika ujumbe huu " This content is restricted in your area "...
How ? Kivipi yaani? Kifurushi kipo active tangu wiki iliyopita cha 23k.. Nipo Tanzania bara..Au Azam Tv Max, chaneli za Znz ni kwa ajili ya upande wa pili tu..
Au ni mimi peke yangu nakumbana na hiyo changamoto ya kupata chaneli ya zbc 2 kwa app ya Azam tv max?
Au siku ya mechi kubwa huwa hawaiweki hewani kupitia App?
Wanazingua big timeNi kwa wengi sana mkuu ipo ivo. bora wewe imeandika is restricted in your area. Sisi wengine ukifika muda wa game za caf chaneli inapotea kabisa huioni hata kwenye list.
Wapuuzi sana aisee
Washenzi sanaWanazingua big time
mmmhWewe badala ya kufocus
Watarusha kupitia channel gani..hiyo app nnayoWashenzi sana
Nilikuwaga nailipia online kwa azam max app. Ila ninamuda sana siilipii maana lengo langu lilikuwa ni kuona games za CAF tu.
Jaribu kudownload yaccine tv wanarusha game za CAF na zingine nyingi tuu. Huwa natumia hiyo app mimi.
Bein sports nafikiriWatarusha kupitia channel gani..hiyo app nnayo
OkayBein sports nafikiri
Wabheja sanaaa mkuu ntaangalia!!