Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Tumeupa muda wakati nipe matokeoMatokeo hayabadirishwi na muda au wakati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeupa muda wakati nipe matokeoMatokeo hayabadirishwi na muda au wakati
Mtajuana huko huko na Timu yenuChama ni tofauti na Tiba. Lini uliona Tiba anafanyiwa Sub mashabiki wanamuakia kocha?
Chukua chuma hicho 😄 😄 😄 😄 😄HII PIA NI HOJA YA NGUVU SANA [emoji116]
"Woti evaaaaaa
Kuna lolote laweza tokea tukiamua kupaki basi imeisha hiyoo...
Watajutia kosa lao"
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wacha bwana...Ebu nitake radhi bhana, Dume zima unanipaje maua nakati unapaswa unipe ile tunu pendwa (...................) [emoji848][emoji38]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kabla ya mechi wachambuzi wa mchongo walisema simba anakufa Goli 5, baada ya mechi wasema ni kawaida Wydad ni kawaida kufungwa akiwa ugenini
Acheni mbinu zenu bana..mwalimu anajua cha kufanya....nusu fainali lazimaUsije ukamshauri Robertinho kwenda kupaki basi kwa Waarabu! Watawafunga goli 10-0! Dawa ya Waarabu ni kushambulia, na kujilinda kwa wakati mmoja.
VAR ulaya kwenyewe inawashinda, huku uswahilini kwetu tutaweza?!Kuna VAR
Nyie endeleeni na ya kwenu kesho mshinde 3 huko huku lupaso mshinde 4 muingie nusu fainali kwa kishindo...Huwezi kupaki basi kwenye mafuriko waulize Udart watakwambia.
I like this positive comment!Kuwa na kitu ni bora kuliko kutokuwa na kitu.
Simba anakwenda kumtoa waydad Casablanca
Hii mechi inanikumbusha mtoto wa ki zanzibar mmoja wa kuitwa shehan rashid, yaani watu walifuta maji kwenye pitch ili penalt ipigwe. Dah waarabu walipoona maji ya shingo mechi ikapelekwa kirumba kama sikoseiSimba Vs Al Ismailia, 2-0 ikasimamishwa na iliporejewa 1-0
Jumatatu watasifiaKabla ya mechi wachambuzi wa mchongo walisema simba anakufa Goli 5, baada ya mechi wasema ni kawaida Wydad ni kawaida kufungwa akiwa ugenini
Wee mawe, yani UEFA ufananisha na upupu wa Africa kweli zimo wewe?Reference angalia game zote za UEFA hatua ya robo fainali..Timu zote zilizopata matokeo game za kwanza ndio hizohizo zilizofuzu... i.e Manchester city,inter,AC milan and real Madrid
Karibu [emoji1666] Casablanca Morocco kila goti litapigwaHongera kwa ushindi, na hasa goli zuri ambalo mchoro wake hakuna angeweza kuuchora kabla.
Nafasi ya Simba kufuzu ipo ikiwa itakuwa bora kimbinu kuwazidi hao Wydad Casablanca.
Wydad walianza kuvutavuta na kukamata wachezaji wa Simba. Ile ni ishara gani, kuzidiwa au mbinu za mchezo?
Chama apunguze zaidi mbwembwe, Kuna goli ilikuwa afunge leo.
Makocha na wachezaji watenge muda kurejea hii mechi katika video.
Ule mchezo wa away, wajipange kumiliki zaidi pale kati.
Kasi ya Wydad kule Morocco itakuwa mara dufu, ni kazi ya makocha kubuni mbinu.
Simba irejee video zote za mavurugu ya Morocco, iwe mvua, kelele, tarumbeta nk waone kawaida.
Ule mkakati wa kuitoa Zamaleki 2013 uboreshwe zaidi. Simba ioneshe haijafika hapa kwa kubahatisha.
Hakuna lisilo wezekana na Wala haitakuwa miujiza Simba kuingia nusu fainali.
Kuna watauliza kwa wachezaji gani? Ni hawahawa, mbinu na bidii zaidi Simba wanavuka kibabe.
Mengi yalisha fanywa na Simba huko nyuma, kwanini isiwezekane sasa.
Leo towa yote kushangilia ushindi.Nyie endeleeni na ya kwenu kesho mshinde 3 huko huku lupaso mshinde 4 muingie nusu fainali kwa kishindo...