reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Wakashinde kwao Sio kwetulakini kwa Mkapa hatoki mtu kama kawa..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakashinde kwao Sio kwetulakini kwa Mkapa hatoki mtu kama kawa..!
Mmedhalilika sana leo jirani...Karibu [emoji1666] Casablanca Morocco kila goti litapigwaView attachment 2596483
Sawa nitazingatia ushauri shemejiLeo towa yote kushangilia ushindi.
Haswaaa ndo kikubwa tulikitakaWakashinde kwao Sio kwetu
Acha ujuaji wewe,mpira umebadilika sana siku hiziWee mawe, yani UEFA ufananisha na upupu wa Africa kweli zimo wewe?
Yaani wale Leo Simba Wamepiga boli duhhh....Haswaaa ndo kikubwa tulikitaka
Taifa lilindwe
Samahani mrwanda.Wabongo tunapenda kua negative
Nliwaza hivyo kwa Saidoo hata leo, naona kama kuna advantage ya Saidoo kuingia akitokea sub.Kabisa kabisa. Nafasi zilipatikana za nzuri zaidi ya 3. Ila ngoja away. Akienda na aproach ile aliopigiwa raja nafasi ipo. Ttzo la simba akiwa uarabuni anafungwa goli zaidi ya moja hasa dakika za mwisho. Hilo robertinho inabd aliangalie. Kwa mtazamo wang mechi ijayo saido aanzie nje chama arudi katikati then kipindi cha pili faida ya saido na enrgy yake ionyeshe angalau manufaa
Mental case.Acha ujuaji wewe,mpira umebadilika sana siku hizi
Wewe si ndo ulisema Simba anakufa kifo kizito leo?, kuanzia leo sitawaheshimu wanaozikosea heshima PhD.Wee mawe, yani UEFA ufananisha na upupu wa Africa kweli zimo wewe?
Usicheke,kazi bado.Simba nje.Asanteni kwa kushiriki. Pale Mohamed VI mtachapwa vibaya mno nje ndani.[emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2]
Mmepigwa ndiyo,na mmetolewa.Asanteni kwa kushiriki.Amepigwa [emoji23]
Iliyochezea kichapo?Hii ndio Wydad nnayo ijua
Safi sanaa wana improve siku hadi siku...zile ntantalila za Simba mbovu zimeishaYaani wale Leo Simba Wamepiga boli duhhh....
Muulize mwingineTumeupa muda wakati nipe matokeo
And vice versa is trueMental case.
Nimesema hivyo kwa sababu hata Yanga ilishawahi kumfunga Al Ahly (ikiwa ni ya moto kweli kweli) goli 1-0 uwanja wa Mkapa, na kwenye mechi ya marudio kule Cairo na yeye akafungwa 1-0!Leo ndio mmejua kuwa Wydad ni "team tu" kama Simba sc? Yanu hapo umeogopa tu kuisema hadharani ile kauli yenu ambayo huwa mnaitumia kila Simba Sc ikishinda "imekutana na team mbovu" 😂
Hivi huu unafiki huwa mnautoa wapi?