FT: CAF Champions League: Simba SC 1-0 Wydad AC.. Mkapa Stadium.. Dar.. 22.4.2023

Kabla ya mechi wachambuzi wa mchongo walisema simba anakufa Goli 5, baada ya mechi wasema ni kawaida Wydad ni kawaida kufungwa akiwa ugenini

Haujawaelewa wachambuzi yaani goli 5 ukijumrisha na mechi ya marudiano mwarabu kwake anakufa 4 Na hili la leo yanakua magoli 5
 
Reference angalia game zote za UEFA hatua ya robo fainali..Timu zote zilizopata matokeo game za kwanza ndio hizohizo zilizofuzu... i.e Manchester city,inter,AC milan and real Madrid
 
Simba Vs Al Ismailia, 2-0 ikasimamishwa na iliporejewa 1-0
Hii mechi inanikumbusha mtoto wa ki zanzibar mmoja wa kuitwa shehan rashid, yaani watu walifuta maji kwenye pitch ili penalt ipigwe. Dah waarabu walipoona maji ya shingo mechi ikapelekwa kirumba kama sikosei
 
Reference angalia game zote za UEFA hatua ya robo fainali..Timu zote zilizopata matokeo game za kwanza ndio hizohizo zilizofuzu... i.e Manchester city,inter,AC milan and real Madrid
Wee mawe, yani UEFA ufananisha na upupu wa Africa kweli zimo wewe?
 
Karibu [emoji1666] Casablanca Morocco kila goti litapigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…