FT: CAF Champions League: Simba SC 1-0 Wydad AC.. Mkapa Stadium.. Dar.. 22.4.2023

Azam Tv Max ni janga la kitaifa, najaribu kustream live hapa zbc 2 inaandika ujumbe huu " This content is restricted in your area "...

How ? Kivipi yaani? Kifurushi kipo active tangu wiki iliyopita cha 23k.. Nipo Tanzania bara..Au Azam Tv Max, chaneli za Znz ni kwa ajili ya upande wa pili tu..

Au ni mimi peke yangu nakumbana na hiyo changamoto ya kupata chaneli ya zbc 2 kwa app ya Azam tv max?

Au siku ya mechi kubwa huwa hawaiweki hewani kupitia App?
 
Hapo mwamba ni wydad pekee maana ni bingwa mtetezi,ANAKOMBE,Simba umwamba katolea wapi Kwa kombe LIPI?
 
Ni kwa wengi sana mkuu ipo ivo. bora wewe imeandika is restricted in your area. Sisi wengine ukifika muda wa game za caf chaneli inapotea kabisa huioni hata kwenye list.

Wapuuzi sana aisee
 
Washenzi sana
Nilikuwaga nailipia online kwa azam max app. Ila ninamuda sana siilipii maana lengo langu lilikuwa ni kuona games za CAF tu.

Jaribu kudownload yaccine tv wanarusha game za CAF na zingine nyingi tuu. Huwa natumia hiyo app mimi.
Watarusha kupitia channel gani..hiyo app nnayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…