Kuna utofauti wa kushinda na kushinda ili ufuzu.View attachment 2616657
Mechi rahisi hii yanga anamaliza game 1sthalf
Ndio mkuu,maana Hadi kitayose hua na green warriors hua wanacheza azam federation cup ila hata hawajulikani wanacheza ligi gani kubwaJitihidi uwe na ufahamu wa vitu vidogo vidogo kuepusha kuaibika.
Michuano ya Azam federation ina husisha timu zilizoshindwa kufuzu kwenye michuano mikubwa?
Tulia wewee. Timu ngumu kwa Simba ziko tatu tu, Wydad tumetoka kupambana nayo na aggr. ilikuwa 1-1, Al Ahly tunammudu. Mamelodi pekee hatuna historia nao ila wanafungika.Umeshindwa kombe la loser huko si utabakwa
Nyoosheni hata miguu lakini mtakutwa na kitu kizito.Mashabiki wa Marumo Gallants tunyooshe mikono juu.
Michuano kuitwa ya losers hakujatokana na timu ndogo kutoka local league kushiriki michuano na timu kutoka classic league.Ndio mkuu,maana Hadi kitayose hua na green warriors hua wanacheza azam federation cup ila hata hawajulikani wanacheza ligi gani kubwa
Nyoosheni hata miguu lakini mtakutwa na kitu kizito.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
kwanza hakuna club ya mpira inaitwa Dar Young Africans acha ushabiki wa kijinga. Ile club inaitwa Young Africans Sports Club, DSM ni makao yake makuu.Mabingwa wa Tanzania, Dar es Salaam Young Africans maarufu kama Yanga, jioni ya leo watashuka dimbani uwanja wa Benjamini Mkapa kupambana na timu ya Marumo Gallants ya kutoka Afrika ya Kusini katika mechi ya nusu fainali ya kombe la Shirikisho hatua ya kwanza
Mechi hiyo itayochezwa saa kumi ya jioni, itakuwa ni muhimu kwa Yanga kupata ushindi mzuri kabla ya kwenda nchini Afrika Kusini kwa ajili ya mechi ya marudiano
Nitakuwa nawe katika kufuatilia na kuhabarisha kile kitakachokuwa kinajiri kwenye dimba la Mkapa jioni hiyo
Mungu Ibariki Yanga, Mungu ibariki Tanzania
View attachment 2616696
Hao unao wasema hawaja ishia robo finallyTulia wewee. Timu ngumu kwa Simba ziko tatu tu, Wydad tumetoka kupambana nayo na aggr. ilikuwa 1-1, Al Ahly tunammudu. Mamelodi pekee hatuna historia nao ila wanafungika.
Ngoja muonyeshwe mambo haya yanavyofanyika ili mbele huko mkipewa nafasi mjue mchezeje msije mkatia aibu.
Umeshindwa kufika fainali ya kombe unalo lidharau huko kwa vigogo si utakua ngomaJitahidi uwe na ufahamu wa vitu vidogo vidogo kuepusha kuaibika.
Michuano ya Azam federation ina husisha timu zilizoshindwa kufuzu kwenye michuano mikubwa?
Umeshindwa vitu vidogo hivyo vikubwa utaweza? yaani kombe amabalo Pamba FC kashiriki umetoka kapa huko kwa kina Mamelodi si utakua kama changudoa kila mtu anajioigiaJitahidi uwe na ufahamu wa vitu vidogo vidogo kuepusha kuaibika.
Michuano ya Azam federation ina husisha timu zilizoshindwa kufuzu kwenye michuano mikubwa?
Sawa mwaka jana umecheza huko kwa loser ulifika wapi?Michuano kuitwa ya losers hakujatokana na timu ndogo kutoka local league kushiriki michuano na timu kutoka classic league.
Loser tournament imetokana na timu kushindwa kuhimili michuano mikubwa na hivyo kutupwa kwenye michuano midogo (ambayo ndio losers) kama option ya kupewa second chance ujitafute.
Hapo nimeeleweka au mpaka aisome Sunday Manara na Kikwete?
Wakiona comment hii wanapita na kusonya kimya kimya tuKila la heri chama kubwa Afrika mashariki na kati kwasasa[emoji91][emoji91]
Dar Young Africans
Msimu naocheza mimi hayo mashindano kulikuwa kuna vichwa vigumu.Umeshindwa kufika fainali ya kombe unalo lidharau huko kwa vigogo si utakua ngoma
Na vitu vidogo havikuwa kwenye mkakati wa ClubUmeshindwa vitu vidogo hivyo vikubwa utaweza? yaani kombe amabalo Pamba FC kashiriki umetoka kapa huko kwa kina Mamelodi si utakua kama changudoa kila mtu anajioigia
Kwa hiv ssa ndani ya Afrika masharik klabu gani inayoshirik mashindano ya hadhi kwa ngazi ya club barani Afrika?Michuano kuitwa ya losers hakujatokana na timu ndogo kutoka local league kushiriki michuano na timu kutoka classic league.
Loser tournament imetokana na timu kushindwa kuhimili michuano mikubwa na hivyo kutupwa kwenye michuano midogo (ambayo ndio losers) kama option ya kupewa second chance ujitafute.
Hapo nimeeleweka au mpaka aisome Sunday Manara na Kikwete?