kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
SawaMkuu bado tuna goli zetu hapo 2, bado Mayele, musonda
Guvu moya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaMkuu bado tuna goli zetu hapo 2, bado Mayele, musonda
Mechi ya Jana ya arsenal na Leeds unitedMkuu we subiri tarehe 16 ndio utajua kwanini Yanga inaogopwa na Arsenal, tutawafanya vile ambavyo hatujawahi
| 636 | Passes | 307 |
|---|
tumia rungu kuuwa wadudu warukao na kutambaana wewe shabiki wa fc madunduka umetulia kama umechomekwa kitu hapo ulipokalia...
Mmeshinda lin ugenin makolo zaid yayule kibonde vipersBaada ya kupewa nyota moja na Simba.
Leo mkishindwa kumfunga TP Mazembe. Mkajipange sana tena mjitafakari mnakosea wapi?
Simba ina uwezo wa kushinda home and away wala siyo kubahatisha
Mkuu tuliwahi mpiga simba mbele ya rais wa nchi na shabiki wao mkubwa hayati Magufuli, kwaio sio ajabu Mazembe kupigwa mbele ya rais waoMazembe mbele ya Rais wao wanacheza hivi, asipokuwepo je?
Haya maneno hata Kwenye kanga yapo😂😂😂😂🤣🤣🤣Sisi sio Simba bwana, ushindi wetu huko kimataifa sio wa kubahatisha, tunakupiga huku tukikutawala
Mazembe ni timu kubwa sema wamekutana na wababe waoHawa mazembe wakija ligi ya bongo watagombana na polisi tanzania kushuka daraja
Ukweli ndio huoMazembe ni timu kubwa sema wamekutana na wababe wao
Wewe unawazia derby za Simba wakati Simba wanawazia mechi na timu kama Raja. Tofauti zetu ziko hapo.Mkuu tuliwahi mpiga simba mbele ya rais wa nchi na shabiki wao mkubwa hayati Magufuli, kwaio sio ajabu Mazembe kupigwa mbele ya rais wao
Dunduka hiliKundi la Yanga shirikisho hata Namungo angeongoza
Hii mazembe ni wazembe 🤣🤣🤣Mazembe ni timu kubwa sema wamekutana na wababe wao
we binti mpikie mmeo futari kwanza kisha waulize AS VITA, NYASA BB, JWANENG, PLATEAU, nini kiliwakuta kwao.Mmeshinda lin ugenin makolo zaid yayule kibonde vipers
NakaziaDunduka hili
😅😅Wakati mkiloga Afrika Kusini ilikuwa kombe la tembo?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ukweli ni kuwa hamna timu ya kushindana na Yanga ni bora kujifariji kama mnavyofanyaWewe unawazia derby za Simba wakati Simba wanawazia mechi na timu kama Raja. Tofauti zetu ziko hapo.