Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Nimekuja kutafuta hili jamaa najua lina furaha sana muda huu [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata Yanga akipigwa mbili mechi bado nyeupe wakati wa marudiano.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Bill zamu yenu ya kuongea...Bantu Lady eti baba yoyo anakuita mida hihiii
Hakuna la pili.Huyu mwarabu,tunammudu.Wakati mnafukuza mwizi kumbukeni kufunga mlango wenu, mkipigwa la pili hapa fainali itakuwa imeisha.
Ripota hana nguvu tena za kuripoti, anatupa dakika tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kusema kweli sijapenda kabisa, yaani ripota wetu moja kwa moja kutoka Uwanja wa Mkapa Mheshimiwa sana Joseverest ameamua kuzima maiki na Computer kupisha baridi la bao 1 walilotangulizwa jamani [emoji28][emoji28][emoji28]
Msijali Wananchi, hii mechi mtashinda na Ubingwa mtachukua [emoji2957][emoji125][emoji125]
Na tutaongea usiku kuchaaaa 😂
Utopolo ana rekodi nzuri ya kushinda ugenini....Uto,
Kama hapa nyumbani ndio mnashambuliwa hivi sasa huko Algeria mtaenda kufanya nini?
Mi naona bora mkubali fainali iishie hapa hapa waarabu wapewe kombe lao leo.