Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
- Thread starter
- #881
65' ๐๐ฎ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐๐ง๐ ๐ ๐๐ณ๐ข๐ณ ๐๐ข ๐ง๐ฃ๐, ๐๐ฎ๐ซ๐ ๐๐จ๐ฒ ๐ง๐๐๐ง๐ข
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu sio Kolo.Mwarabu anabeba kombe la losers kiulaaainiiii
Angalia quality ya hawa jamaa, huwezi linganisha na hizo timu.Utopolo ana rekodi nzuri ya kushinda ugenini....
hata huko Uarabuni ushindi kwa Uto...unaweza kuwepo (rejea kule Tunisia,Drc, Nigeria na kwa Madiba)
Niliuliza Hili Swali, Nadhani Kocha Amelifanyia KaziYaani Huyu amerudi Second Half? [emoji19]
Kuna mtu aliweka hii linkMwenye ako na link ya kustream online tafasali
Anza kuyajua sasa ๐Mambo ya uto nayajua basi.
Kama kuna mtu anastream game online naomba anisaidie link.
Anawasemea Watu [emoji3]Weee mtangazaji tangaza mpira hizo habari za kusema watu hawajafurahi unazithibitisha vipi?
Wao wanadai kwakua mwarabu haongozi ligi yao kama wao basi ni kibonde, ila ukiyambuka ya Berkane ni lazima uwacheke.Mwarabu anabeba kombe la losers kiulaaainiiii
Hahaha.......saivi wanajifariji eti watapindua matokeo Uarabuni, najiuliza Wanamjua Muarabu linapofika suala la Fainali hawa ๐ ๐Ripota hana nguvu tena za kuripoti, anatupa dakika tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]