FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

Nilipoiona ile ahadi ya milioni 63 kwa kila mchezaji nikajua leo Yanga wajiandae kwa maumivu. Muarabu hatoi pesa yake kizembe hivyo.
 
Labda kombe la uji wa ulezi. Nyie jipangeni tu kwa mwakani. Mwaka huu shangilieni makombe mliochukua hapa Bongo. Huko duniani waachieni wenyewe.
 
Acha kufananisha andazi na vitu vya hovyoo dogoo!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nisamehe aunt
 
[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtaniii pita kwa mangii pata chochotee, bill juu yangu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…