MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,455
- 1,473
Why not AssBado tuna Imani na Yanga...
Leg 2 of 2 tuna uwezo wa kufunga 3, wao Nabi kishaona uchezaji wao, Algeria kwao huko wanaweza wasizione nyavu. Yote kheri [emoji120]
#WHYNOTUS#
#teamyawananchi#
#yangadaimambelemyumamwiko#
[emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]
Kombe gani? Labda kombe la mbuziYanga bado ina nafasi kubwa ya kutwaa kombe hilo kwenye mechi ya marudiano ugenini
Nakazia.Bado tuna Imani na Yanga...
Leg 2 of 2 tuna uwezo wa kufunga 3, wao Nabi kishaona uchezaji wao, Algeria kwao huko wanaweza wasizione nyavu. Yote kheri 🙏
#WHYNOTUS#
#teamyawananchi#
#yangadaimambelemyumamwiko#
🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰
Lia taratibuuu mtaniii, sijakuzoea ukitoaa keleleee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo tuseme walau mmepata faraja leo Mtani. [emoji1787][emoji1787]
Bado huko kwako inaonekana nyeupe?Mechi bado nyeupe hata iwe 5-0
Josee umekalishwa chaliangu𝐖𝐞 𝐬𝐮𝐛𝐢𝐫𝐢𝐚, 𝐧𝐢 𝐬𝐮𝐚𝐥𝐚 𝐥𝐚 𝐦𝐮𝐝𝐚 𝐭𝐮
sala imejibiwa 😂😂😂
Ametolewaaaaa njeeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vp yanga akishinda 1
Kalpana naye kafufukia hii mechi, ila naamini mpira bado huwa una matokeo ya kutotabirika.Hahahaa! Wa Algeria wamemfufua. [emoji28][emoji28]
Mechi bado sanaBado huko kwako inaonekana nyeupe?
Yaan kimyaaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daah , USMA wameutuliza mji Kwa kweli kimya kimya yani