Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee timu dhaifu imefika semi final ambayo wachezaji wenu 11 + Uchawi mlishindwaTuliwaambia mmeshinda timu dhaifu. Nadhani mmeelewa.
Weee Leo natoa yoteeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nachekaaa km mazuriiiiiiiiiiii
Basi mbumbumbu mnawashwa leoMy Final Analysis
1_ Jamaa mipira ya juu wako vzr mipira ya chini ndio Moto wa kuotea mbali
2_ Mpira wanauweza na Wachezaji mpira wanautaka, tofaut na yanga wanaogopa kuuchezea.
3_Jamaa wanajua kufanya mikimbio ya hatari wamedrible ndani ya box la yanga zaidi ya mara 10 na wametembeza pasi zaidi ya 100 ndan ya box la utopolo.
4_ Hawabahatishi.. turejee goli la pili.
5_ hawa jamaa walikuwa na uwezo wa kufunga hata 5. Ila nilichoona wana discipline sana wamekuja kutafuta ushindi na sio kudhalilisha mtu.
6_ Utopolo bila kubahatisha na kujaribu jaribu basi leo wasingepata chichote kitu, rejea goli la mayele hakuna mipango ya wazi.
7_ Jamaa wanabeki kali sijapata kuona...
8_Kona zote za yanga zilichezwa na wachezaj wa USM hakuna kona hata moja yanga walicheza ikamfikia mtu wao.
9_ Mipira ya kutengwa ni hatari kuliko utopolo.
10_ Kipa wa utopolo walikuwa wanamlenga tu kitu kilichokuw kinampa credits za kijinga. Refer goli la 2 hakuwa na responsiveness yoyotee kuokoa goli.
11_ MASHABIKI wa yanga hawana hamsha hamsha, hawana moto, hawajui kuisupport timu yao. Sasa sijui ndio hivyo tiket za bure wakaenda watu wasio na faida.
Full house kwa yanga haikuwa na faida.
Sasa mnakuja kwetu UARABUNI mje mjionee nini maana ya neno FULL HOUSE.
Mimi ni MTANZANIA MZALENDO.
Nawatakia USM ALGER ushindi huko nyumbani kwao na sio ushindi tu bali ushindi wa Goli nyingi
HahahaaaaaHaoooooo wamepigwaaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu wee utulieee tyuuh, hii furahaa inatuhusu mashabiki wa USMA.Pale litimu lako linaishia robo... eti una nguvu ya kuicheka timu inayocheza fainali. Zaidi hiyo ni Leg 1 of 2... lolote linaweza kutokea kwenye Final leg 2 of 2.
Tunawaachia uzi, timu mkeshe hapa. Yanga bado ni bingwa wenu wa NBC, mna mengi ya kutolea uchungu leo... tunaelewa.
Mbumbumbu akiichambua Yanga FC baada ya kula kichapo toka kwa Azam FCKudadadeq View attachment 2638358
Hahaha, Niliwekeza kwenye uzalendo.Asante Mungu kwa kuniongoza kufanya maamuzi sahihi leo asubuhi. Niliwekewa UZALENDO na ANDAZI nkachagua ANDAZI.
Ndo nipo nalitafuna hapa.
Toaaaa uduguuuuu toaaaaaa.Weee Leo natoa yoteeee
Waambie...... Haiwezekani watupangie cha kutufurahisha, alaa!!!!msitupangie furaha zetu...sisi tumefurahi mtajijua wenyewe na miguu yenu ya kwanza na ya pili....
kombe la shirikishoKombe gani? Labda kombe la mbuzi
Inadhihirisha ulikuwa umebakia kuokota makopo barabarani au kunywa sumu ufe kabisa sababu tu ya Yanga FC kubeba ubingwa wa CAFCCL mwaka huu 2023 [emoji1787]Na kombe hampati Abadaaaaaniii