Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mliwapiga nani mmeenda fainali ?Tuliwapiga
Sawa tusubiri ya Pili sio mbaliBahati Yenu fainali ni mbili ingekuwa moja tungepoteza watu uwanjani Leo.
Mstue mwana mwambie kumekucha asije akakikojolea hapo
Fainali ndo nini? Ndo kama hii mliyopigwa?Mliwapiga nani mmeenda fainali ?
Yanga ipi?Ninacho kijua yanga Leo wanafunga waarabu 3-1 hayo mengine ni porojo tu
Wote naomba tukutane kwenye comment yangu hii jioni ya leo
Hata we yako haipo, ipo kiroho tu ila kimwili ishatokaKama timu yako haipo kimataifa usikanyage hapa
Wydad au Raja Casablanca ? Nani mlimpiga kwao ?Tuliwapiga
Yani uchomoe kwa muarabu [emoji16]Sawa tusubiri ya Pili sio mbali
Hiyo dua ingefanya kazi kwa MarumoMwendo ni ule ule cha muhimu kutoruhusu goli nyumbani.
Kiuhalisia jamaa wana mpira wa mahesabu san na umakini, ila kwenye soka lolote linaweza kutokea.We kwa mpira ule mliopigiwa hiyo nafasi unaiona kweli?
Hapa nikizungumzia mchezaji aliuesabisha mfungwr bao 2 ni Diarra, bila huyo mlikuwa mnakufa hata 4 leo
Nani mlimpiga kwao mkienda mnaambulia kupigwa tu Nani mtaje mwarabu mliempiga ? Ukiniambia Mimi nakutajia Yanga mwarabu aliempiga haya wewe taja Nani ?Fainali ndo nini? Ndo kama hii mliyopigwa?
MmefungwaPale litimu lako linaishia robo... eti una nguvu ya kuicheka timu inayocheza fainali. Zaidi hiyo ni Leg 1 of 2... lolote linaweza kutokea kwenye Final leg 2 of 2.
Tunawaachia uzi, timu mkeshe hapa. Yanga bado ni bingwa wenu wa NBC, mna mengi ya kutolea uchungu leo... tunaelewa.
Huyu jamaa ni mara chache utamuona anakosea ila sasa wajitokeze wale critics wote ambao walikuwa wanamuona jamaa muongo
Yaani Wanakasirika Sisi Kufurahii!msitupangie furaha zetu...sisi tumefurahi mtajijua wenyewe na miguu yenu ya kwanza na ya pili....
Kwani muarabu Nani mboni Marumo mlikua mnatishia hivyo hivyo kwenda kwao kafa midomo fyokooooo ikapigwa uzi mkaufyta mkiaYani uchomoe kwa muarabu [emoji16]
Kiuhalisia hii ndio timu yenye ushindani tangu mmefika shirikishoKiuhalisia jamaa wana mpira wa mahesabu san na umakini, ila kwenye soka lolote linaweza kutokea.
Hao sio marumo mkuu mtu mliwanyanyasa Al monastri siku Ile cheki Leo mlivo tawaliwa kama uwanja ni WA us Alger.Kwani muarabu Nani mboni Marumo mlikua mnatishia hivyo hivyo kwenda kwao kafa midomo fyokooooo ikapigwa uzi mkaufyta mkia