FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

Video za mechi zote za klabu hii Union Sportive de la Médina d'Alger ya kutoka Algeria katika michuano ya Bara la Africa ya CAFCC ili Tujikumbushe jinsi USM Alger's Ilivyofanikiwa ktk safari ya kufika fainali.

USM Alger's Road to 2023 #TotalEnergiesCAFCC Finals
Source : CAF TV

Nyumbani Katika msimamo wa Algerian Ligue 1 timu ya USM Alger's ipo nafasi ya nane katika ligi ya (daraja) la kwanza nchini Algeria .

JEDWALI YA MSIMAMO LIGI YA NYUMBANI ALGERIA
Club
MPMatches played
WWins
DDraws
LLosses
PtsPoints
GFGoals scored
GAGoals against
GDGoal difference
Last 5Last 5 matches
6​
El Bayadh​
23​
9​
6​
8​
33
24​
18​
6​
Win
Loss
Win
Win
Draw​
7​
CgZDRDAxMDA.png
JS Saoura​
23​
9​
6​
8​
33
25​
20​
5​
Loss
Win
Draw
Loss
Loss​
8​
CgYwMjAxMDE.png
USM Alger​
21​
9​
5​
7​
32
25​
17​
8​
Loss
Loss
Win
Loss
Win​
View attachment 2637453

Hawa jamaa 80% ya magoli yao ni ya juu au mpira wa kutengwa
 
Tumeshawafundisha mengi makolo mpaka sasa, now tunaenda kuwafundisha jinsi ya kupindua meza kibabe ugenini na kuwaondolea dhana ya "kufa kiume" completely

Tafadhari tunahitaji utulivu wenu muelewe somo
Finalise Hata Sisi tulifika
 
Huu ni mwaka wa visasi kwa timu zote ambazo zimeifunga Yanga siku za nyuma.

Nawakumbusha tu Yanga hii ni colabo la AS Vita, Asec mimosa na Taifa stars, hii siyo Yanga ya kina Ditram Nchimbi, Molinga na Yikpe huku bechi la ufundi Mwinyi Zahera na vikaptula vyake, unapoangalia Yanga hii usiwe na pressure kabisa.
Umefunga viwete unaanza kuvimba eti mwaka wa visasi.

Haya hicho kisasi kiko wapi?
 
Kiuhalisia hii ndio timu yenye ushindani tangu mmefika shirikisho

Zile kelele za kusifia kikosi chenu ziliwalevya mkaaahau ubovu wa wapinzani wenu na mkaanza kutubeza.

Hii timu mngecheza nayo kwenye hatua ya robo, huku msingefika.

Ngoja mwakani tutawaona Club Bingwa
Mbona kabla ya Yanga kucheza na hizo timu wachambuzi hapa Jf mnakuwa na kauli kuwa anapigwa ila akishinda inakuwa alicheza na vibonde ?

Vyovyote vile bahati ikitokea hauwezi kuwin ukiwa lelemama na historia ishandikwa na status ya Yanga kimataifa imepaa maradufu mwaka huu.
 
Kiuhalisia hii ndio timu yenye ushindani tangu mmefika shirikisho

Zile kelele za kusifia kikosi chenu ziliwalevya mkaaahau ubovu wa wapinzani wenu na mkaanza kutubeza.

Hii timu mngecheza nayo kwenye hatua ya robo, huku msingefika.

Ngoja mwakani tutawaona Club Bingwa
Wewe hunaga akili unasubiri matokeo ndio utoe mapovu
 
Back
Top Bottom