Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Napenda vitaHuyo Mwanzisha Thread Ni Yanga
MMbona UmejAa Makasiriko Wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napenda vitaHuyo Mwanzisha Thread Ni Yanga
MMbona UmejAa Makasiriko Wewe
Vipi huko huyo mtu ametoka au?Tuazime msemo wa jiraniView attachment 2637607
Natamani sana ishinde. Inaiwakilisha Tanzania no doubt.
Bahati mbaya ni mdebwedo mpaka sasa.
Uchi ule uliokuleta duniani au upi huo? Yani soka la Simba na Yanga linatufanya Watu tunakuwa Mbumbumbu kiasi hiki? [emoji57]Wana uchiiiiiiiii
Hata CCM imeumia kuona Club yao imefungwaKitu ambacho sikukijuwa kumbe Simba wanaumia sana na mafanikio ya Yanga.
Leo hadi yule Askofu Kamanda wa a Chadema Mwamakula ameshindwa kujificha furaha yake baada ya Yanga kupoteza mechi ya kwanza.
Ole wenu Yanga irudi na kombe mtafute nchi ya kuhamia mapema tena Burundi siyo Mbali.
Dedication lako mkuu Nampenda kikongwesijawahi Kukupenda…
Leo nimekupenda Aiseee[emoji8][emoji123]
Job done.Waarabu wanakuja kufanya dhihaka kwenye nchi ya kikapuku ya kilofa
Uchi ule uliokuleta duniani au upi huo? Yani soka la Simba na Yanga linatufanya Watu tunakuwa Mbumbumbu kiasi hiki? [emoji57]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nakumbuka kwa Marumo ulisema hivi hiviKiuhalisia hii ndio timu yenye ushindani tangu mmefika shirikisho
Zile kelele za kusifia kikosi chenu ziliwalevya mkaaahau ubovu wa wapinzani wenu na mkaanza kutubeza.
Hii timu mngecheza nayo kwenye hatua ya robo, huku msingefika.
Ngoja mwakani tutawaona Club Bingwa
Baaas baaas mkuu nyinyi hamuwezekani 1-2 Andaaa vs MgundaaaaClub Africain ni Nani sio mwarabu alifanywa nini kwao ? Haya nitajie wewe mwarabu gani Simba kamfunga nyumban kwake ?
Mmeanza kurudi kinyume nyume03/03/2023 Tukiwa wazima utaufukua huu ujumbe kunikumbusha Yanga FC akishatwaa ubingwa
Nikukumbushe kuwa mzalendo asee mayele leo kasomewa dua anazozielewa mnyaaziShindeni, vimbeni, mlete nzi ila matokeo yakija vinginevyo tusikumbushane kuhusu uzalendo.
Marumo nilisema wamecheza vizuri kuliko watangulizi ambao mlikutana nao.Nakumbuka kwa Marumo ulisema hivi hivi
Kubalini tu kua msimu huu yanga ipo timamu
Mtu mweusi shida mkuuThere is something wrong na hii nchi.. kuona shabiki wa Ac milan au napoli publicly anaombea Inter Milan isishinde Fainali ya uefa ni mara chache sana, same goes for Man city... hua utani unaishia kwenye domestic cups au ukizidi labda hizi hatua za chini kwa robo au makundi lakin fainali, ndoo inakuja Kariakoo kwa wenzetu sijawahi kuona
Usikech mzee, it's not that serious,uchi upo kwa kila kiumbe hai,cha msingi kwa leo alieliwa kaliwaUchi ule uliokuleta duniani au upi huo? Yani soka la Simba na Yanga linatufanya Watu tunakuwa Mbumbumbu kiasi hiki? [emoji57]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app