Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli , na mara nyingi ni kwasababu ya imaturity. kwenye stage kubwa kama hiyo kila goli either for or against kocha anakuwa ameshapanga mtafanyaje.. to concede soon after that means haukuwa na plan.Mpira umeanza kufatilia lini Mkuu mbona hilo jambo la kawaida sana,kuna team bora zinafungwa ndan ya sekunde tano tu sembuse Yanga
Mara hii tu yamekuwa haya[emoji2]Kuna haja ya uongozi wa yanga kumfanyia tadhimini kocha nasredine nabi kama kweli anatosha kama kocha wa yanga.
Timu inacheza vile vile miaka nenda miaka rudi. Ni kama kocha hana cha kuwaongezea wacheza.
Vipi huko huyo mtu ametoka au?
Hujui chochote kuhusu mpira Kuna mchezo wa nage pia pengine utakufaa.Kuna haja ya uongozi wa yanga kumfanyia tadhimini kocha nasredine nabi kama kweli anatosha kama kocha wa yanga.
Timu inacheza vile vile miaka nenda miaka rudi. Ni kama kocha hana cha kuwaongezea wacheza.
Yale yale ya Kina Giruod kucheza Arsenal FC ilihali akina Ngassa wako Bongo [emoji38]Hivi Mayele kwann Yuko Tanzania?
𝐇𝐚𝐲𝐚 𝐬𝐚𝐰𝐚Hamasa kwa picha za mwizi wa kura!
𝐇𝐚𝐢𝐤𝐨 𝐤𝐰𝐞𝐫𝐞 𝐛𝐚𝐛𝐥𝐢𝐧𝐲𝐨, 𝐛𝐚𝐡𝐚𝐭𝐢 𝐡𝐚𝐢𝐣𝐚𝐰𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐭𝐮 𝐥𝐞𝐨Josee umekalishwa chaliangu
𝐒𝐚𝐰𝐚Labda kombe la uji wa ulezi. Nyie jipangeni tu kwa mwakani. Mwaka huu shangilieni makombe mliochukua hapa Bongo. Huko duniani waachieni wenyewe.
𝐓𝐡𝐚𝐧𝐤𝐬[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeee weee
𝐇𝐚𝐢𝐣𝐚𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝐢𝐢𝐬𝐡𝐞 [emoji120][emoji119]Naungana nawe. Matumaini ni mengi
Walianza kujiwekea nuksi wenyewe hawa yangaMaskini Raisi atatoa tena ndege kweli? Kilio Cha mgunda kuitwa Andazi na mjukuu wake
Potelea mbali hata Kama Sina hata Cha kunywea uji, Ila kelele sitaki maana Leo tusingelala.Unapataje usingiz huna kikombe hata cha kahawa?
Wamelala yooooo
Nipo naburudikaBest upo?