Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Unabisha nn apa kolo?kwan umewafunga azam?Dah.. utopolo akili zenu mnazijua wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unabisha nn apa kolo?kwan umewafunga azam?Dah.. utopolo akili zenu mnazijua wenyewe.
Bingwa wa ligi akilala kwa maumivu we mfa kiume utalalaje?Wapenda maandazi wamelala kwa maumivu..wao kila kitu wanachagua maandazi...tuwape maandazi yao...
Utajijua sisi kwa sasa tunajua mmelouwaaaBingwa wa ligi akilala kwa maumivu we mfa kiume utalalaje?
Kumbe uko 50/50?bila shaka ubora wa yanga ndio unaoufanya usiamini moja kwa moja kua mechi imeisha,Safi! kuanzia leo nakutoa kwenye kundi la mbumbumbuIla mkichukua kombe sijui nitaficha wapi sura yangu mieeee [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Mm ni bingwa wa nchi hii ukumbuke hilo,jitutumue na ww siku moja tuwaone huku finalUtajijua sisi kwa sasa tunajua mmelouwaaa
Marumo mlisema hivhiv,wait and seeUsma hawajapoteza mechi ya kimataifa ktk dimba lao toka 2019
Hata mabingwa wa nchi tupo apa,tunafanya maandalizi kwenda kuchukua kombe mbele yenuUSM TUPO MACHO BADO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Ww kama unachukulia siriaz kila kitu utaumia..mimi natania tuu...sio kwamba sijui matokeo ya mpira..any thing may happen...japo ni kwa percent ndogo kwa matokeo ya leo na jinsi hao USM wanavyocheza..Kumbe uko 50/50?bila shaka ubora wa yanga ndio unaoufanya usiamini moja kwa moja kua mechi imeisha,Safi! kuanzia leo nakutoa kwenye kundi la mbumbumbu
Baada ya kuambulia patupu msimu mzimaUZI HUU UTOPOLO WANAUPITA KAMA WANAAGA MAITI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Just like you, nothing serious,enjoy mrembo,mnafuraha sana leo,hongeren kwa ushind waarabu wa bunjuWw kama unachukulia siriaz kila kitu utaumia..mimi natania tuu...sio kwamba sijui matokeo ya mpira..any thing may happen...japo ni kwa percent ndogo kwa matokeo ya leo na jinsi hao USM wanavyocheza..
Ndio bingwa kwenye ligi yako na kakugonga sanaAcha makasiriko hakuna aliekutuma ushabikie timu bovu.