much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Presha gani wakati Kila kitu kipo wazi?Hemu pumzika, maama leo siku ndefu sana na yenye presha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Presha gani wakati Kila kitu kipo wazi?Hemu pumzika, maama leo siku ndefu sana na yenye presha
Aahh....hongera Mimi Sina uzalendo huoo Wana midomo sanaaa ..lolote liwakuteKwa nia njema kabisa unaweza kuitakia Yanga ushindi kwakuwa ni timu ya nyumbani lakini msemaji wao na sehemu kubwa ya mashabiki wamejawa na ujinga mwingi sana!
Anyway nawaombea ushindi.. Akishinda Yanga imeshinda TanzaniaView attachment 2644122
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi RahaMvua Dar
Mvua Algiers... hatari sana
Mimi nasema wafungwe nyingi tu hakuna jinsi nyingine maana hawana adabuKwa nia njema kabisa unaweza kuitakia Yanga ushindi kwakuwa ni timu ya nyumbani lakini msemaji wao na sehemu kubwa ya mashabiki wamejawa na ujinga mwingi sana!
Anyway nawaombea ushindi.. Akishinda Yanga imeshinda TanzaniaView attachment 2644122
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahhaAahh....hongera Mimi Sina uzalendo huoo Wana midomo sanaaa ..lolote liwakute
🤣🤣🤣🤣😊! Relaxxxxxx Udugu akeeeee sio kwa maombi kabayaaa hayoooo ![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulizanaaa udugu, kikubwaa uwe mvumilivu
Labda njaa. Atashindia mihogoYanga anashinda
Waishaaanza malalamiko kabla ya mechi. Na wao kwanini wapewe mdege wetu kwenda kutupa aibu yote hii 5-1 aibu hiiiiNdo maana mashabiki wa Yanga wanalalamika, ndege badala ya kubeba mashabiki inabeba makada wa CCM alafu wanatudanganyaView attachment 2644520
Sent using Jamii Forums mobile app
NjaaYanga anashinda
1vs1Natabiri 3-1
Lol.Labda njaa. Atashindia mihogo
Tunawaombea mshinde.Kila la kheri Timu ya Wananchi katika kuzimalizia dakika tisini zilizobakia.
Yota kwa yote hakuna kisichowezekana katika mpira tupo tayari kwa matokeo yaliyo mazuri zaidi. [emoji123][emoji123][emoji123]
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Sawa jirani.