Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu andaa lesso kubwa ya cotton ili machozi yafutike vizuri.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji4]! Relaxxxxxx Udugu akeeeee sio kwa maombi kabayaaa hayoooo !
Mshwendwweeeee[emoji1787][emoji1787][emoji28]!
Mtaniiiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila la kheri Timu ya Wananchi katika kuzimalizia dakika tisini zilizobakia.
Yota kwa yote hakuna kisichowezekana katika mpira tupo tayari kwa matokeo yaliyo mazuri zaidi. [emoji123][emoji123][emoji123]
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Umeshiba makande yako unaropoka ropoka tuGoli saba atakazopigwa Uto kwa kiarabu zinaitwaje
Mbona hiyo kitambo tu miaka 30 iliyopita?Soma kwa sauti bila kuliaView attachment 2644898
Unavyo kuanga na gundu kila unalo ombea linakwamaGoli saba atakazopigwa Uto kwa kiarabu zinaitwaje
Citizens yaani wanachiiiiiiiiiiiiiiiiiii [emoji28]Mancity katangulia kuchukua kombe la pili, wenzake Yanga wanaenda kuchukua usiku huu.
Huo mwiko wenu leo utawaua .Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Yanga
[emoji169][emoji172][emoji172][emoji169]
Yanga ikishinda, Tanzania imeshinda.
Sent using Jamii Forums mobile app