Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Ndiyo faraja yenu hiyo mnayojifariji kila mwaka. Wenzenu wanacheza fainali, nyinyi mnaishi kwa kutegemea historia.Simba vs zamalek au ulikuw kiunoni kama bao ulikuwa badohujatoka ?
Fainali iwe mechi mojaKama ni hivyo basi UBINGWA alishapatikana DSM ingekuwa ni mechi moja
Hahahahahahahaha,Kuvishwa medali bila kombe.
Ni kufanya medali ionekane kama shanga tu
Sie hatuna shida na hilo kabisa, tunachoshukuru nchi imetulia.Unga fc japo mnashangilia ila moyoni mmeumia sana Yanga kupata goli ugenini
Mna Cha kuzungumzia kwa kombe hili hili la losers au?Mwanachi vimba kuna watu moment kama hii inawezekana wasione,sisi tumeiona na tuna cha kusimulia na CAF kwenye database zao wanatujua kuwa ni wa kwanza kutoka Tz kufika fainali na kuvaa medali.
Au Kama vile wanavaa machingaKuvishwa medali bila kombe.
Ni kufanya medali ionekane kama shanga tu
Umepata nn msimu huu , hebu ongeza sauti kwanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Achana nao hao wasitutoe kwenye mstari, wananlengo ovu ka kutufanya tuache kushangilia hiki tulichokipata.
Hakika wewe ndiye shabiki pekee wa simba ambaye haupo kwenye lile kundi lililoitwa mbumbumbu na mwenyekiti mstaafu.Kwa niaba ya Ahmed Ally, namwakilisha kusema wapinzani wetu young Africans wamefanya vizuri katika fainali ya leo, hii imeonesha juhudi, hari, morali, uwezo, wa young Africans. Hongereni Sana kocha, wachezaji, mashabiki na watanzania kwa ujumla. ππ
Yanga Sc VS RiversHongereni, ukiacha ushabiki , kwenye kombe la losers hili utopolo wamepambana
Ananicheka tu hapaMsalimie Swalehe, najua atakuwa likizo.
Kesho kipololala utaelewa kesho
Maneno ya mkosaji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi ndio yangaaaWanaotaka kuchangia huu uzi ni mashabiki wa timu yenye medali tu
Kombe hili si mlipanda na kuni kwenye ndege na mkabeba vibiriti kama wavuta tumbaku na kuwasha moto katikati ya uwanja, huku mkiharibu pitch ya watu South na mkapigwa faini ya dola elfu kumi,bahati nzuri tukafuta aibu hii kwa taifa zidi ya Malumo.Mna Cha kuzungumzia kwa kombe hili hili la losers au?