FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

Wangechukua kombe Gongowazi yani Mpira ungekuwa ni kitu cha kipumbavu kilichoingia nuksi.

Maisha ya mpira yangedharaulika maradufu, heshima ya watu waliowekeza kwenye mipira ingeshuka.

Yani mambo mengi ya ajabu yangefanyika sana.
 
Mwanachi vimba kuna watu moment kama hii inawezekana wasione,sisi tumeiona na tuna cha kusimulia na CAF kwenye database zao wanatujua kuwa ni wa kwanza kutoka Tz kufika fainali na kuvaa medali.
Mna Cha kuzungumzia kwa kombe hili hili la losers au?
 
Kwa niaba ya Ahmed Ally, namwakilisha kusema wapinzani wetu young Africans wamefanya vizuri katika fainali ya leo, hii imeonesha juhudi, hari, morali, uwezo, wa young Africans. Hongereni Sana kocha, wachezaji, mashabiki na watanzania kwa ujumla. 😊🙏
Hakika wewe ndiye shabiki pekee wa simba ambaye haupo kwenye lile kundi lililoitwa mbumbumbu na mwenyekiti mstaafu.
 
Yanga inakuwa klabu ya pili kucheza fainali za kombe la afrika baada Simba mwaka 1993. Hakuna jipya.[emoji38]
 
Back
Top Bottom