FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

Wangevhukua Gongowazi yanj Mpira ungekuwa ni kitu cha kipumbavu kikichoingia nuksi.

Maisha ya mpira yangedharaulika maradufu, heshima ya watu waliowekeza kwenye mipira ingeshuka.

Yani mambo mengi ya ajabu yangefanyika sana.
Una asili ya uchawi na roho mbaya, sali sana hilo pepo likutoke
 
 
Nimeshangaa ati mpira unaisha wanashangilia..🀣 huu ni utapeli haswaa dah!
Kwanini wasichekelee, kama fisi za watani zangu Wagogo zinavyochekeleaga kuvuka Barabara za lami, wakati wenzetu walishatuwahi kuwekeza MKAPA?
POLENI MAFISI! πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£
 
Yaani na cha kushangaza ushindi wa Yanga ungegeuka kuwa wao na kujitapa wao ndio wameleta kombe nchini. Na t-shirt walishachapisha za kutosha
Katika hili nakupa support, wajinga sana hawa wanasiasa. Mbona kwa USMA hatujaona agenda za kisiasa?

Shenzi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…