FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

Shanga sisi hatuzijui labda wanapewa wanao ishiaga robo ndio maana wewe unazijua mpaka zinapopatikana, inawezekana mpaka sasa mnazo pair nne maana robo mmeishia mara nne. Sisi tunazo zijua medali na leo tumeziona live wachezaji wakivaa.

Hii michuano unayoiita haieleweki, ndio iliyokufanya ubebe lundo la kuni na vibiriti ukaota moto katikati ya uwanja na ukapigwa faini ya dola elfu kwa kuharibu pitch ya watu South.

Uzuri kaka yako Yanga kaenda kukufutia aibu baada ya kulitia aibu taifa.
 
Umepata nn msimu huu , hebu ongeza sauti kwanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Ngoja nikuweke wazi pengine hukupata bahati ya kusoma nilichokiandika kwenye uzi fulani.

Ni kwamba hivi

Mwaka jana kwenye kombe la dunia isingewezekana kwa mimi kufika hadi fainali kama ningekuwa nashabikia timu moja.

Kushabikia timu moja ni too risk unaweza ukakosa kila kitu.

Kwa kulijua hilo sasa nikuanbie tu, huko majuu nina kalabao nishaweka kabatini.

Hapa Afrika tayari leo nimepata kombe.

Kwa hiyo kukosa kwako wewe ubingwa dhidi ya USM ALGER hauwezi ukatumia hoja ya mimi kukosa ubingwa kama niia ya kujipatia furaha.

Na hii itawahitaji mchukue miaka 30 mingine mje mfike hatua kama hii.
 
Ifike hatua tuwe serious kama taifa gharama zilizotumiwa na serikali kwenye huu upupu tungekuwa na kituo cha afya kama si shule
 
Hoja yangu ni huru sana sababu mm si uto ila nimewaheshimu kwa kufa kiume.

FAINALI MBILI HAINOGI MGENI ANAPOSHINDA. HATA KISAIKOLOJIA HAIJAKAA SAWA. INATAKIWA UWANJA NEUTRAL MASHABIKI 50/50
 
Zilikuwa timu 32, zikabaki 16, zikabaki 8, kisha 4, kisha 2... Bahati ikawa kwa USMA kuwa Bingwa, lakini Yanga itabaki kuwa timu bora
Hata kwenye darasa la wajinga, wakawanza na wa pili hupatikana.

Hatupaswi kuisifia Yanga kwa kuonekana nzuri miongoni mwa team za kijinga, kwanini hakuwa bora huku CAFCL?
 
timu tishio wapi ww? Umemuona nabi akilia lakini?
 
Sheria za kijinga sana hizi ndo maana wenzetu waliondoa huu upuuzi.
Fainali iwe moja tu.
Africa aisee imekaa kipigaji sana aisee
Kama fainali Ingekua moja yanga bado wanheshindwa kuchukua kombe.
Maana walishafungwa 2 kwa 1 nyumbani kwao.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unakuta Kuna kijanaume nacho kinasimama kinashangilia USMA kuchukua kombe huku kimelowa kimoko 😅😅, afu ukikiuliza haya USM amechukua vipi wewe una nini kwenye kabatini ni tobo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…