Ahyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 2,310
- 5,482
Ndio hizihiziHizi ndio akili unajaribu kuonyesha hapa?
[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hizihiziHizi ndio akili unajaribu kuonyesha hapa?
[emoji23][emoji23]
He is indeedDon't be stupid big man
Yanga amekosa kombe kwasababu za kikanuni na sio matokeo ya uwanjani!, Tumewapelekea Moto waume zenu mpaka wakatamani mechi iishe...😅. Ila najua na wewe hicho kimoja bado kimekulowanisha kiboxer? Au natania ndgu yangu🙄Uzuri hata nyinyi mlilowa viwili kabla ya hii mechi, najua kukosa kombe kumekutoa kumbukumbu yote[emoji23].
Wakati sisi tuko huko hatukutanishwa na team zinazopigana zisishuke daraja.Kwani huku nilipo nishawahi kufika robo ,msimu huu nimefika robo na fanali nimefika.
So huko CAFCC nikifika robo ,ujue ndio fainali.
Wewe endelea kushiriki na kuishia robo mwisho wa siku itafahamika nani anahesabu nazi na nani anahesabu makuti.
Ndio tayari mwenzako.
1.Nimefika fainali.
2.Nimeshika nafasi ya pili.
3.Nina medali.
4.Nimetoa mfungaji bora.
5.Kipa bora.
Ni rekodi ambayo inawezekana husije uiona ila si wenzako moments hii yumeiona bila kuota moto katikati ya uwanja.
Kombe kubwa ni moja tu CAF champion league na lapili ndo hilo litaanza CAF super league. Ilo la kwenu ni la maluzaUnajua huu mchezo umeangaliwa na watu wangapi duniani ?? Hii ndio maana halisi ya visit Tanzania na kupeperusha bendera na sio kuvaa jezi tu ya visit Tanzania nchi imetangazwa ,kwa Mara ya kwanza Timu kutoka Tanzania imecheza fainali ya afrika kwa level ya Makombe makubwa
Kwanini ufurahie Yanga kutokuchukua kombe ambalo wewe unaona halina maana...???Kwa hapa Tz hakuna kombe ambalo yanga analo na Simba Sc hana, kwanini nisifurahi Yanga Sc kukosa hilo kombe ambalo Simba Sc hana?
Ligi, lile la Azam, chukueni wala sisi hatuna shida.
[emoji23]
Ukiona golikipa anachukua man of the match ujue timu yake imeponea chupuchupu. Leo Mayele angecheza mngeshinda.Mtateseka sana mbwa nyinyi.
Ndio maana hautaweza kufika[emoji23].Kiume wapi unaishia robo, maana hata shirikisho unaishia robo ila Yanga fainali.
Mimi huko nikifika robo ujue ndio naingia fainali.
Hilo tatizo lenu nani aliwatuma mshike nafasi ya pili kwenye kundi lenu,kipindi kile mpo shirikisho.Wakati sisi tuko huko hatukutanishwa na team zinazopigana zisishuke daraja.
Sasa hii ndio nini?Mtateseka sana mbwa nyinyi.
Brazil ???Hakuna mpira wa hivi sehemu yeyote duniani
Mpira ambao mipira miwili miwili inarushwa ndani ya uwanja
Mechi inasimamishwa kwa sababu ya moshi
Mpira unaharibiwa kipuuzi tu
Kwani hili nimefikaje,mimi nina kwambia nikifika robo ujue naingia fainali na kukifyeka hiko kichaka chako cha robo.Ndio maana hautaweza kufika[emoji23].
Akili za shoga ake zuena kudhani kama wewe huna basi na mwenzako hastahili kuwanacho. Vipi kuhusu matokeo bwana yenu amepakwatae😅Kwa hapa Tz hakuna kombe ambalo yanga analo na Simba Sc hana, kwanini nisifurahi Yanga Sc kukosa hilo kombe ambalo Simba Sc hana?
Ligi, lile la Azam, chukueni wala sisi hatuna shida.
[emoji23]
Kwasababu walianza kiupa hadhi michuano ya CAFCC sawa na ile ya CAFCL.Kwanini ufurahie Yanga kutokuchukua kombe ambalo wewe unaona halina maana...???
Kwa hasira hizi naona kabisa kuna haja ya kuvaa helmeti kesho napotoka kuelekea mtaaniHakuna mpira wa hivi sehemu yeyote duniani
Mpira ambao mipira miwili miwili inarushwa ndani ya uwanja
Mechi inasimamishwa kwa sababu ya moshi
Mpira unaharibiwa kipuuzi tu
Umefika kwa kucheza na team dhaifu zinazoshuka madaraja katika ligi zao husika, kule kiumeni hakuna huo upumbavu ndiomaana hata makundi hauwezi kunusa.Kwani hili nimefikaje,mimi nina kwambia nikifika robo ujue naingia fainali na kukifyeka hiko kichaka chako cha robo.