Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Poleni Sana SanaTujipange next season
😂🤣😅Huna akili
Leo mpaka muda huu nacomment kashapigwa 2Bravos anacheze lini
TumeshapoaPoleni Sana Sana
Unastahili ignore list😂🤣😅
Me Leo situkani
Itakuwa nzuri maana wote watatu mtakuwa mnagombania nafasi, lkn hilal akishinda mtabaki wawili kushindania nafasi ya piliMc Alger akishinda hii mechi, nakubali wazi Yanga safari yetu itakuwa imeishia hapa
Fanya hivo haraka😅🤣😂Unastahili ignore list
Bado hesabu zinakuwa wazi kwa kila timu kufuzu, Yanga si wana mechi nao hao Mc Alger? Kinachotakiwa Yanga ashinde vs Al Hilal kisha mechi ya mwisho amfunge Mc Alger kwa magoli matatu bila kuruhusu goliMc Alger akishinda hii mechi, nakubali wazi Yanga safari yetu itakuwa imeishia hapa
Hapa mkombozi wetu ni TP Mazembe Sasa nae akisusa hapo ni wazi tunaaga mashindanoItakuwa nzuri maana wote watatu mtakuwa mnagombania nafasi, lkn hilal akishinda mtabaki wawili kushindania nafasi ya pili
Wewe unavyoona Yanga anaweza kumfunga Al Hilal 3-0 ugenini au Hilal wanaweza kukosa point moja kwa Mazembe?Wapange matokeo wakati bado hakuna ambaye kaisha kata tiketi ya kufuzu? Hata hao Al Hilal wenyewe pamoja na kuwa na point 9 bado kimahesabu anaweza asifuzu kama atapoteza mechi mbili zinazofuata
Mc Alger akishinda Leo anafika alama 8 na akimpiga Mazembe tayari anakuwa ashafuzuBado hesabu zinakuwa wazi kwa kila timu kufuzu, Yanga si wana mechi nao hao Mc Alger? Kinachotakiwa Yanga ashinde vs Al Hilal kisha mechi ya mwisho amfunge Mc Alger kwa magoli matatu bila kuruhusu goli
Al Hilal wanaenda CongoWewe unavyoona Yanga anaweza kumfunga Al Hilal 3-0 ugenini au Hilal wanaweza kukosa point moja kwa Mazembe?
Saba sio nane UTO🤣🤣Mc Alger akishinda Leo anafika alama 8 na akimpiga Mazembe tayari anakuwa ashafuzu
Goooooooooal Al hilal kaweka
mbona hakuna kazi, tunashinda mechi zoteKazi ipo kwa uto
😂🤣😅Saba sio nane UTO🤣🤣
Wewe shuleni somo la hesabu lilikupiga chenga, una mpira wa kukariri bila hesabu. Achana na point 9, Al Hilal ilishindwa kufuzu pamoja na kuwa na point zao 10. Ni champions league ya msimu wa 2019/2020Swali langu kwako
Naomba unitajie ni timu gani ikifeli kufuzu caf champions league baada ya kufikisha point 9 ?