Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Yan halina hata mech fitness unafungwaje kizembe vile hat halipambniKipa wa Simba ni mweupe,kuanzia rangi Hadi uwezo ,nilitaka kushangaa mzungu gani uyu anaitwa Ayubu
Mpira wa Dynamo ni wa kawaida sana ila Simba ndio wameonesha wana mapungufu hivyo wameonekana kama wote level moja.Kwa hiyo Mpira wa power dynamo ni sawa na ule wa jana?
Kuwa mkweli
Nipo nimekaa pale Mtani.
Moderator ni Capo del gado.Moderator kazira[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Weka matokeo hapo juu haibadilishi maana yoyote
Nataka huyu kocha azilambe hella za moo Hadi 2025 bila kuwa na kikombe chochoteHuyu kocha afukuzwe hata kama Simba ikifuzu afukuzwe
Sahihi ........Huyu kocha afukuzwe hata kama Simba ikifuzu afukuzwe
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Moderator. Badilisheni title ya uzi ili kuonyesha matokeo kama tulivyozoea. Niko maporini huku na nataka tu kuona matokeo kwenye title ya uzi.
Sorry lakini msije mkanilima ban [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Naanzaje kuamini kwa mpira ule Mtani.Huamini?
Nimepishana naye Kurasini anasema anaenda kwao Masasi, lakini sikumbuki kama huyu ndugu yangu ni Mmakonde.