FT: CAFCL: Simba SC 1-1 Power Dynamos | Simba yafuzu Hatua ya Makundi

FT: CAFCL: Simba SC 1-1 Power Dynamos | Simba yafuzu Hatua ya Makundi

Timu yote mbovu,hata utimamu wa mazoezi upo chini,morali chiniii....game plan hakuna.....Dah! Watani nimeumia sana sisi wakuteswa na wazambia kweli. Nilitaka Timu zetu zote 3 zitinge makundi Tuheshimike......but Simba hawana Timu yakishindani!
 
Hivi maana halisi ya ukuta wa yetiko ni ipi!
 
Halooooooooo nimekutana na kolo moja linasonya kwani kuna nn huko mjini Dasalamu? [emoji848][emoji2957]
 
Moderator. Badilisheni title ya uzi ili kuonyesha matokeo kama tulivyozoea. Niko maporini huku na nataka tu kuona matokeo kwenye title ya uzi.

Sorry lakini msije mkanilima ban [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uto hamuijui champions league nyie hadhi yenu makombe ya losers
20230812_130315.jpg
 
Back
Top Bottom