dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Alipewa password za saver leo Ni mwanasimba usitegemee atafanya mabadiliko yoyoteModerator. Badilisheni title ya uzi ili kuonyesha matokeo kama tulivyozoea. Niko maporini huku na nataka tu kuona matokeo kwenye title ya uzi. Mtandao huku ni wa shida [emoji1545]
Sorry lakini msije mkanilima ban [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Aweke ubao hapoAlieingia leo kazini Ni mwana simba hatakubali kufanya ujinga huo
Full mashuzi mbwambwa,ahaaaaaMashabiki wa Simba mpaka muda huu hawachezi mbali na matundu ya vyoo .
Dirisha la Usajili CAF na TFF limefungwa RASMI niliyoshauri yafanyiwe kazi Simba HAYAJAFANYIKA, Wanasimba mjiandae kisaikolojia
Hellow Wana JF. Dirisha la Usajili la shirikisho la Soka Tanzania TFF na Lile la CAF limefungwa RASMI Jana 31AUGUST 2023. Yale yote niliyoyaomba na Kupendekeza yafanyike ndani ya wekundu WA Msimbazi hayajafanyiwa kazi kwa asilimia 90% Hii imeniuma mno kama shabiki mwanachama na Mfanyakazi wa...www.jamiiforums.com
AahaaaaaaaaUto hamuijui champions league nyie hadhi yenu makombe ya losersView attachment 2768588
Tusubiri tuone Mkuu.Na utahama ulipo baada ya unyama mwingi kuibuka
Ngoma hii hii muliyo iiba airport?Hivi ni Mimi tu ninayetaka Ngoma asirudi kipindi cha pili au tuko wengi?
Nani alikwambia?Huyu kipa ndiyo alisajiliwa kwa bilioni 3?
Hahahaha watoke tu ,hakuna namna😂😂😂Yan halina hata mech fitness unafungwaje kizembe vile hat halipambni
Unamlaumu bure timu nzima imezidiwa.Kipa wa Simba ni mweupe,kuanzia rangi Hadi uwezo ,nilitaka kushangaa mzungu gani uyu anaitwa Ayubu
Kweli niko maporini na mtandao ni wa kusuasua kweli. Mpaka sasa matokeo yakoje?Aweke ubao hapo
Simba kabambiwa na wahuni anakata Tu kiuno [emoji2]Ngapi ngqpi huko huku tabesco wameshafanya yao
[emoji1][emoji1][emoji1]Alipewa password za saver leo Ni mwanasimba usitegemee atafanya mabadiliko yoyote
Labda tumuite mwenye forum hi atusadiee
Mwenyekiti alishajibu hatukuiba. Yaani binadamu anaibwaje?Ngoma hii hii muliyo iiba airport?
mshaanza kumpangia kocha kikosiNilisema Toma Mwanzo Baleke Aingie kama Sub Au Saido Asianze Phiri aanze
Hata Sisi hatujui Ila makolo yamenuna sijui kimewasibu kipiKweli niko maporini na mtandao ni wa kusuasua kweli. Mpaka sasa matokeo yakoje?