Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Hii ni weekend huenda wamesahau kubofyaModerator. Badilisheni title ya uzi ili kuonyesha matokeo kama tulivyozoea. Niko maporini huku na nataka tu kuona matokeo kwenye title ya uzi. Mtandao huku ni wa shida ππΏ
Sorry lakini msije mkanilima ban πππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
Maoni yamepokelewaModerator. Badilisheni title ya uzi ili kuonyesha matokeo kama tulivyozoea. Niko maporini huku na nataka tu kuona matokeo kwenye title ya uzi. Mtandao huku ni wa shida ππΏ
Sorry lakini msije mkanilima ban πππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
Ndy watajifunzaHahahaha watoke tu ,hakuna namna
TuliaTusubiri tuone Mkuu.
Pengine ila najua wapo maana nimejaribu kuanzisha uzi usio na kichwa wala miguu wamepita nao chap. Wapo aisee!Hii ni weekend huenda wamesahau kubofya
Ana KadiDaah..
Hivi unamtoa BALEKE,Unamuongiza BOKO..?
huyu mr objective hajipendi...
Mimi tatizo lipo kwa SAIDOO
Wajikaze tu. π€£π€£Moderators hawajui watende nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Maoni yamepokelewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inauma sanaWajikaze tu. [emoji1787][emoji1787]
Ngapi ngapi? Huku umeme washapita naoSUB
BALEKE OUT
BOKO IN