Mkuu tema mate chini uendelee kisubiri kipiho kutoka Kwa kibonde.Marumo.!Kwa mpira huu wa Wydad, Itoshe kusema Simba ilitolewa na timu mbovu sana. Na bado wakapongezana eti wamekufa kiume, Kufungwa na timu mbovu kama hii ni usenge uliopitiliza
Unasema moto wa kuchoma uwanjani au moto upi ?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile ap
Kama ule unaopelekewaga na baba yoyoyoUnasema moto wa kuchoma uwanjani au moto upi ?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kama timu yako haina kombe lolote kaa kimya.Peleka timu yako uone kitakachokukuta
Timu kubwa ipi isiyo na kombe?Umeanza vizuri umemaliza hovyo.
Lini uliwahi kuona mbinu za Nabi dhidi ya timu kubwa?
Kama Al Hilal tu ambao walikuwa wanaanza kusuka timu kwa kufumua fumua kuanzia kikosi cha wachezaji wa ndani hadi technically bench lakini bado alishindwa kukaza upaja.
Sasa kwa Wydad angewezaje?
Wamekutana hatua Gani mkuu??? Al ahly anafungwa na Simba Al ahly anafungwa na Al hilal Al ahly anafungwa na esperance kwenye makundi syo finally Mzee Yule mbwa Hana masihara anapoona kombe na mamelod sundowns akikosa hili kombe inatakiwa ajutie mwenyewe Kwa Nini alimbania Al hilal??Wamekutana mara nyingi mwarabu Hana uwezo Kwa mamelod
Kulinganisha Simba inayoishiaga robo fainal na Mamelody ambao wamekuwa wakibeba hili kombe inahitaji uchizi flan hiviHawa Wydad wanabidi wajue kuwa hii ni Mamelody ambayo haijaachana sana kiuwezo na Simba, hivyo wawe makini wataaibika.
Ndio Wydad walifukuza kocha.Hawa Wydad Wa Seven Mbona wako Moto Hivi? Ndio tulio cheza nao Simba? Basi Simba Tulikuwa Bora sana
Wazuri kwa lipi? Simba kwa sasa ni failure, haina cha kuwaeleza watu.Simba wazuri ila msimu wa pili huu hawana hata kikombe cha mbuzi
Chukimamelod wazuri kuliko simba ww
Kwani kwa sasa mnashiriki mashindano gani?Ni Mamelod pekee Katika.vidume vya sokaAfrika hakijapelekewa moto na Simba... Mwaka huu tunewakosa kidogoooo!
Ushaanza ujinga wako.Humu nawaona asilimia kubwa wanashabikia mamelodi kwa sababu ni weusi, huu ubaguzi sijui hutaisha lini!!
Hata akipita mamelodi kwa al ahly atapigwa na hamtaamini.,
Al ahly kama kawa kama dawa kombe ni la kwake
Kila la heri wydad casablanca
Mkuu tema mate chini uendelee kisubiri kipiho kutoka Kwa kibonde.Marumo.!
Kama ule ninaopelekewaga na baba yoyoyo
Refa alikuwa giza au mwarabu?Kadi mbili kwenye mechi nzito kama hii kwakweli waarabu nimeamini wanabebwa sana mbeleko imezidi sasa
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Una maanisha last year ilikuwa imara kuliko hii?
Raja mlimfunga ngapi?Ni Mamelod pekee Katika.vidume vya sokaAfrika hakijapelekewa moto na Simba... Mwaka huu tunewakosa kidogoooo!
Mwaka huu Mamelodi anachukuwa kombe
Waarab wanaweza wakapewa na penati ya figisu