Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
-
- #381
Vibonde wa Ihefu ongezea hiyo
Nasemaaaje nasemaaaje kimewauma. ππHaka kamoja kamewauma kuliko zile Tano ππππππππππππππ
π€£π€£π€£Tukiwaambia watu waliroga juzi ...ndo hivu sasa
Kimewaingiaaa hadi roho zimewaumaaaNasemaaaje nasemaaaje kimewauma. ππ
AaaahaaaaShirikisha ubongo na akili kwanza. Timu imetoka kucheza mechi ngumu dhidi ya Simba siku ya jumapili. Wamepumzika siku moja tu ambayo ni Jumatatu kisha jumanne wamesafiri kuelekea Tanga kisha mechi imecheza leo Jumatano. Hao ni binadamu sio maroboti, timu yako iliyopigwa tano imekaa tu Dar halafu mechi yake imepangwa Alhamisi. Lengo lenu la Yanga kupoteza mechi na hao TFF na bodi yenu ya ligi mpaka sasa mmefeli tafuteni mbinu nyingine
π€£π€£π€£π€£π€£ππNdo maana sherehe haziishi kumbe mlikua mnamuota mbabe wa nyika mkapuliza ndumba weee.....pambavuuuuu
Kwa hio ulitaka na wao wapigwe [emoji2772] kama nyie?Duuh hii ndio Yanga iliyoifunga Simba goli 5, mbona kwa Coastal Union wameishia 1 tu, bila shaka Coastal Union nayo ni timu bora
Mwanamke una wivu sana, yani unataka mke mwenzako wote mpigwe goli sawa? Mimba inaingia kwa goli moja tu.π€£π€£π€£π€£ wamebaki na goli moja?
ππππ pole yao.Kimewaingiaaa hadi roho zimewaumaaa
Hujui mpira wewe,ila wenzako wanaojua mpira kikicho tolea Jpili walikiona mapema. So mpira wewe naona unaangalia magoli,sio kosa lako.Acha maneno mengi.
Tukutane kesho uhuru stadium ποΈ
Naunga mkono hoja ππAaaahaaaa
Kumbe ndo lilikuwa lengo lao
Wameula wa chuya
Hili makolo wakiona wanakimbia ππ€£π€£Kono la nyani
Aaahaaaa
Kacheze hata weweOoh kosi pana ohooo sijui nini..si mngewachezesha hao wapana wengine...
Umeamua kujificha Ihefu, timu yako mbovu hutaki kuisikiaWapi IHEFU
Kabisaππππ pole yao.
Wameze panadol tu saa hii.