FT | Coastal Union 0-1 Yanga SC | NBC premier league | CCM Mkwakwani | November 8, 2023

FT | Coastal Union 0-1 Yanga SC | NBC premier league | CCM Mkwakwani | November 8, 2023

Hahahahaaa. Lol.
Halafu kama haitoshi ebu mtag bwana muwasibu ..

Mwambie kuwa Mayele na leo katetema

Aahaaaa
Screenshot_20231108-202122_AiScore.jpg
 
Mkuu ni mwehu tu ndo atataka kila siku timu ishinde 5. 😂😂
Hayo maviganja na maviwiko mliyokuwa mnayapunga hapo uwanjani yamepoteaje enyi Uto vyura wa jangwani 😁

Mnajijua kabisa wenye akili ni 2 tu huko, wengine wote ni wehu.

Kila saa kunyoosha limkono kisa tano, na leo mlijiandaa na tano zingine wehu nyie.
Marehemu Simba SC fans walikuwa na midomo sana [emoji28]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ukiwaza kuwa hao ni marehemu basi we ni miongoni mwa wale wehu wa jangwani (ukitoa mstaafu na dingi akee Haji 😂😂
 
hata baca ishawai funga timu goli sita na juzi ikapigwa moja kavu mpira haueleweki
Ni kweli mkuu hata Real Madrid wenye makombe 14 ya UCL, walipigwa 4-0 na Manchester City ambao walikuwa hawana kombe hata moja la UCL, ila huwezi kusikia watu wanasema Real Madrid ni timu mbovu kisa hilo

Lakini bongo kuna watu wanakuambia eti Simba ni timu mbovu kisa imepigwa 5-1 mara moja tu na Yanga, tena wakijua kabisa kwamba golini alikaa kipa ambaye ametoka kwenye majeraha, na hajadaka kwa muda mrefu sana

Anyway acha tusubiri tarehe 1/12, ndugu zetu watakapokutana na Al Ahly ndipo wataujua uwezo halisi wa timu yao, hawa ndugu zetu kwao hiyo sentensi ya "mpira hautabiriki" huwa hawaielewi
 
Shirikisha ubongo na akili kwanza. Timu imetoka kucheza mechi ngumu dhidi ya Simba siku ya jumapili. Wamepumzika siku moja tu ambayo ni Jumatatu kisha jumanne wamesafiri kuelekea Tanga kisha mechi imecheza leo Jumatano. Hao ni binadamu sio maroboti, timu yako iliyopigwa tano imekaa tu Dar halafu mechi yake imepangwa Alhamisi. Lengo lenu la Yanga kupoteza mechi na hao TFF na bodi yenu ya ligi mpaka sasa mmefeli tafuteni mbinu nyingine
Duuh yanga kwa malalamiko hamjambo, hilo halijawahi kuwa sababu hata siku moja msitafute visingizio visivyo na kichwa wala miguu, hata Simba na Al Ahly mechi zao zilikaribiana na hakuna aliyelalamika sembuse ninyi kuenda hapo Tanga tu
 
Duuh yanga kwa malalamiko hamjambo, hilo halijawahi kuwa sababu hata siku moja msitafute visingizio visivyo na kichwa wala miguu, hata Simba na Al Ahly mechi zao zilikaribiana na hakuna aliyelalamika sembuse ninyi kuenda hapo Tanga tu
Kikubwa point 3 mengine mtajua nyie wana lunyasi wazee wa kupigwa 5
 
Back
Top Bottom