Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kuna mapimbi ya mbumbumbu Fc yanajisahaurisha kama Yanga ipo uwanja wa ugenini.Hapo Costal Union wameloga wasingeloga Je [emoji1787]
π π πKabisa
Mtani goli moja linakuwaga tamu sana πMechi ngumu vipi??? Si mlisema mlijipigia tuu sasa ugumu huo vepeee...?
Kimoko cha bahati...
Mimba unapataga kwa goli ngapi?Mechi ngumu vipi??? Si mlisema mlijipigia tuu sasa ugumu huo vepeee...?
Kimoko cha bahati...
AahaaaaaKwa hio ulitaka na wao wapigwe [emoji2772] kama nyie?
7Mimba unapataga kwa goli ngapi?
Kula uliweHebu nile mie nisijichoshe na huu utopolo...
Sasa kwanini mmemtimua Bob?Tukiwaambia watu waliroga juzi ...ndo hivu sasa
Yamekua hayo mtani....karibu tule ujipongeze kwa goli moja...Mtani goli moja linakuwaga tamu sana π
Asante mtaniYamekua hayo mtani....karibu tule ujipongeze kwa goli moja...
Sana yaaniDah,hizi pointi 3 za leo hakika zilikuwa ngumu.
Hivyo wanataka kila siku tushinde 5. ππAahaaaaa
Costal hawakuisumbua mahakama ndo maana kipigo kimekuwa cha heshima
Acha tuuu...mm si unajua huwa sio muumini wa kashfa kwa wachezaji wetu na benchi lake...nimeumiaaaaaaSasa kwanini mmemtimua Bob?
Imewauma kuona CU kakaza mpaka kupunguza idadi ya magoliMkuu ni mwehu tu ndo atataka kila siku timu ishinde 5. ππ
Na huo mpira haujawahi kutokea dunia hii.
Kolowizards na uchawi ni damu na maji.pigeni simu kwa mganga wenu
Hahahahaaa. Lol.Imewauma kuona CU kakaza mpaka kupunguza idadi ya magoli