momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,013
- 2,089
Yani hili jambo linanikera sana kwanza tuko nyuma sana ya goal difference lakini bado tunacheza kama watoto wa shule na Fadlu anaangalia tuHivi vipasi vivingi vingi vinavyochezwa kwenye zone yetu ndio vinavyo tu kostigi siku zote
Timu inatakiwa ibadilike hii style ya kuridhika kwa kuanza kuuchezea mpira kwenye eneo letu lishatuachia hasara na litakuja kutupa hasara nyingine kubwa ambayo itaweza kuondoka na kichwa cha mtu.
Mbona umepanick sanaJifarijini Kwa kununua mechi ya Leo ila trh 8 muioshe vizuri maana tunaweka mimba nyingine.
Kosto ndio timu gani?Kosto Wakifanya Mchezo , Ally Salum anaondoka Clean sheet
Ioshe vizuri trh 8 tunatia mimba.View attachment 3254831
Lia bila kutoa machozi maana mwiko unawaumiza sana
Tunapiga matawi yenu kisawa sawa
Kosto ndio timu gani?
Tumekoswa kufungwa bao hapa kwa ujinga huu huu.Yani hili jambo linanikera sana kwanza tuko nyuma sana ya goal difference lakini bado tunacheza kama watoto wa shule na Fadlu anaangalia tu
Za ndugu zenu wa jangwani hamzitaki๐๐๐Hapa tumeliza. Fikra zetu tuzielekeze Kwa Al Masry!
Tupo.. miiko tuliyochomekwa inatuuma aiseeMashabiki nyuma kuna mwiko, mko wapi?๐๐
Hizo ni za ligi wakati za Al Masry ni mtoano.Za ndugu zenu wa jangwani hamzitaki๐๐๐
Simba A inacheza na Simba B!๐๐๐Mashabiki nyuma kuna mwiko, mko wapi?๐๐
we utakuwa umeishia darasa pili weweJifarijini Kwa kununua mechi ya Leo ila trh 8 muioshe vizuri maana tunaweka mimba nyingine.