FT | Coastal Union 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Arusha | 01 March, 2025

FT | Coastal Union 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Arusha | 01 March, 2025

Wajuzi wa sheria za mpira, Chamou ni beki wa mwisho kamzui Maabad asiingie kwenye box la Simba refa njaa akaona kosa limetendeka akampa yellow kadi tu, je ile haikuwa red card? Je hii ni halali? Kwanini utumbo unaachwa uendelee?

Wapi Osman Kazi maana Mchambuzi Azam tv amedai hakukuwa na shida kwa ile yellow card!!

Dawa ya Simba ni Yanga tu hizi timu ndogo zinaonewa mno na marefa njaa!

Haya matokeo ya 0-3 si halali kwa mtazamo wangu! Simba walipaswa kucheza kumi uwanjani Chamou awe nje wakiwa na bao moja tu na Coastal Union wangebadili ubao wa matokeo leo wamekaza ila refa keshaharibu sherehe na TFF kimyaaaa, sijui TFF wanatoa wapi hawa marefa njaa wanaochezesha mechi za simba! Tena wanafanana rangi na vimo!
mechi za nyau huwa zina makandokando ya waamuzi balaa
 
Jifarijini Kwa kununua mechi ya Leo ila trh 8 muioshe vizuri maana tunaweka mimba nyingine.
 
Jifarijini Kwa kununua mechi ya Leo ila trh 8 muioshe vizuri maana tunaweka mimba nyingine.
 

Attachments

  • 1000251238.jpg
    1000251238.jpg
    190.9 KB · Views: 1
Jifarijini Kwa kununua mechi ya Leo ila trh 8 muioshe vizuri maana tunaweka mimba nyingine.
 
Jifarijini Kwa kununua mechi ya Leo ila trh 8 muioshe vizuri maana tunaweka mimba nyingine.
 
Jifarijini Kwa kununua mechi ya Leo ila trh 8 muioshe vizuri maana tunaweka mimba nyingine.
 
Jifarijini Kwa kununua mechi ya Leo ila trh 8 muioshe vizuri maana tunaweka mimba nyingine.
 
Jifarijini Kwa kununua mechi ya Leo ila trh 8 muioshe vizuri maana tunaweka mimba nyingine.
 
Hivi vipasi vingi vingi vinavyochezwa kwenye zone yetu ndio vinavyo tu kostigi siku zote

Timu inatakiwa ibadilike hii style ya kuridhika kwa kuanza kuuchezea mpira kwenye eneo letu lishatuachia hasara na litakuja kutupa hasara nyingine kubwa ambayo itaweza kuondoka na kichwa cha mtu.
 
Back
Top Bottom