Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kazipata kwenye mechi 6Mukwala ana goli 8 huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazipata kwenye mechi 6Mukwala ana goli 8 huyu
Unataka kufanyia majaribio mechi ya dabi? Utauponza.Kocha aangalie namna ya kumchezesha Mukwala & Ateba pamoja.. akifanya hivi, Utopolo watapokea kipigo kitakatifu tarehe 8
Kombe la dunia la msimu uliopita uliangalia?na hapo ateba anatamba na goli za penati
Unawezaje kuwa na moyo wa kuandika mkeka wote huu. Huna kazi?Ila mpira ni kitu cha ajabu sana😳...mashabiki WA Simba mna moyo wa ajabu sana😎mnawezaje kua na matarajio makubwa hivo ya kumfunga yanga tarehe 8?🤔 Mnaposifia timu yenu hua mnazingatia nini kuizidi yanga kwenye ubora?...mmetangulia 2 basi yanawatoka ya asubuhi asubuhi mnajiona mshachukua point kwa yanga?🚮🚮🚮🚮Yani zimbwe aje amzuie ikangalombo, pacome, mzize upande ule? matako yenu jifarijini TU😎
Kama ambavyo Mashujaa walivyo mrudisha Mpumelelo kwenye reli kwa kum offer hattrickHii timu iliwahi kutumika kumfanya Saido kuwa Mfungaji bora 😁😁
Wajuzi wa sheria za mpira, Chamou ni beki wa mwisho kamzui Maabad asiingie kwenye box la Simba akapewa yellow kadi, je ile haikuwa red card?
Wapi Osman Kazi maana Mchambuzi Azam tv amedai hakukuwa na shida kwa ile yellow card!!
Dawa ya Simba ni Yanga tu hizi timu ndogo zinaonewa mno na marefa njaa!
Inawezekana akamaliza wa kwanza huyu jamaa anajua boli sanaKazipata kwenye mechi 6
Ndugu mhasibu😄😄😄hesabu za Aziz ki... Zikoje sahivi? Kuna hasara inaendelea?,hongereni mabingwa wajao wa ligi 24/25....bado kuja kuipiga Yanga tu😅furahi sasa🚮🚮Unawezaje kuwa na moyo wa kuandika mkeka wote huu. Huna kazi?
tunaenda jiandaa tarehe 8Uto mlikuwa mmejazana humu veepe mmekimbia uzi?🤪🤪
Ila mpira ni kitu cha ajabu sana