Washika mkiaMechi nyepesi ni zipi? Unajiona mjuaji halafu unaongea pumba. Kila timu imecheza mechi nne nne je unaweza kutuorodhoshea mechi nyepesi ni yupi against yupi?
Makosa kama haya ya mwamuzi ndio yalimpa faida MedeamaMadema mechi ya kwanza alimkalisha Belouizidad.
Madema 2-1 Cr B.
Yanga hahitaji kushinda goli 3 tumia akili cha msingi ashinde tu mechi ya CRB game ya mwisho atafte sareMechi imeisha kama nilivyotabiri.
Kumbukeni Yanga hawezi kumfunga CRB kwa tofauti ya goli 3 (na wakifanya mchezo wanaweza kupoteza vile vile). Kwa maana hiyo hata akimfunga katika mechi ijayo...
Kama Yanga akishinda hata goli moja dhidi ya CRB, kule Misri wala haitaji ushindi bali ni sare pekeeMechi imeisha kama nilivyotabiri.
Kumbukeni Yanga hawezi kumfunga CRB kwa tofauti ya goli 3 (na wakifanya mchezo wanaweza kupoteza vile vile). Kwa maana hiyo hata akimfunga katika mechi ijayo...
Njia nyeupe vipi ana mechi moja kwao na Medeama. Akimpiga ana 8
Mpira hauko ivo mkuu, waarabu wasipobebwa wanafungika tu vizuri.Mechi imeisha kama nilivyotabiri.
Kumbukeni Yanga hawezi kumfunga CRB kwa tofauti ya goli 3 (na wakifanya mchezo wanaweza kupoteza vile vile). Wakisema wacheze kwa kuzitafuta goli nyingi, pakacha ...
Hongera kwa kumpa ahly ushindi agaist mediama wakilimwaga tena sare tutaendelea kufurahi maana ahly itambidi ashinde game ya yanga na hawezi kuzuilika likihitajika.Yanga hahitaji kushinda goli 3 tumia akili cha msingi ashinde tu mechi ya CRB game ya mwisho atafte sare
Wewe tafta mme uolewe mpira hajui Yanga akishinda home anafikisha points 8 CRB anabaki na points 5 mechi ya mwisho akipata draw anafikisha points 9 ambazo CRB hawezi fikisha sasa goli 3 za nini ?Mechi imeisha kama nilivyotabiri.
Kumbukeni Yanga hawezi kumfunga CRB kwa tofauti ya goli 3 (na wakifanya mchezo wanaweza kupoteza vile vile). Wakisema wacheze kwa kuzitafuta goli nyingi...
Mpira ndio ulivyo ukianza kusemea makosa ya waamuzi, hata Yanga mpaka saivi angekuwa na point 7 maana Kibabage alifunga goli halali kabisa kule Ghana. Mpaka sasa kundi bado lipo wazi hata Medeama anaweza kufuzuMakosa kama haya ya mwamuzi ndio yalimpa faida Medeama
View attachment 2906361
Wakifungana points na Cr Belouzidad kigezo kitachotumika kupitisha timu ni H2H baina ya hizo timu mbili zilivyokutana.Yanga hahitaji kushinda goli 3 tumia akili cha msingi ashinde tu mechi ya CRB game ya mwisho atafte sare
Wewe bwabwaja tu hapa ASEC Memosas wanawasubri hukoGroup D unaweza kusema halijacheza mechi yeyote.
Unaweza kudhani hizo timu zilikuwa na majukumu mengine ambayo ilihitajika kusogeza mbele mechi zao mpaka pale watapomaliza hayo majukumu mengine...
Mechi gani hiyo ya mwisho ambayo Yanga atapata droo?Wewe tafta mme uolewe mpira hajui Yanga akishinda home anafikisha points 8 CRB anabaki na points 5 mechi ya mwisho akipata draw anafikisha points 9 ambazo CRB hawezi fikisha sasa goli 3 za nini ?
Yap ila kwenye mtihani wa mazuzuYanga atafuzu hapo
Asec mimi simhofii hata kidogoWewe bwabwaja tu hapa ASEC Memosas wanawasubri huko
Wewe tafta mme uolewe mpira hajui Yanga akishinda home anafikisha points 8 CRB anabaki na points 5 mechi ya mwisho akipata draw anafikisha points 9 ambazo CRB hawezi fikisha sasa goli 3 za nini ?
Mnaenda na Pacome Cairo?Al ahly kaisha kiukweli