Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Sawa na wakati huo Yanga itakuwa inahitaji sare tu MisriBado hata wakishinda, Belouizdad ana faida ya kukutana na Medeama kule Algeria, huku Yanga akikutana na Ahly kule Egypt
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa na wakati huo Yanga itakuwa inahitaji sare tu MisriBado hata wakishinda, Belouizdad ana faida ya kukutana na Medeama kule Algeria, huku Yanga akikutana na Ahly kule Egypt
Ulitakiwa kusema MP (match played)Mechi ya mzunguko wa tano
Ni Kweli.Lolote linawezekana
Ila sio rahisi
Match day 5MD 5 ndio nini?
Medeama hawana mpira wakumsumbua Cr BelarouzidadNi Kweli.
Ila Wale Med nimewaona wana mpira wa kutumia mabavu unaweza shangaa wakadroo.
Match day 5,Yuko sahihiUlitakiwa kusema MP (match played)
Match day 5Ulitakiwa kusema MP (match played)
Belouizdad alifungwa na Medeama mechi ya kwanzaMedeama hawana mpira wakumsumbua Cr Belarouzidad
Ubaya ni kwamba mediama naye ana nafasi,wakati yanga anauwana CRB, mediama Yuko nyumbani na ahlyMedeama hawana mpira wakumsumbua Cr Belarouzidad
Na Yanga? Maana usishangae Med bado anawaza CR amfunge Yanga na yeye atafute P3.Medeama hawana mpira wakumsumbua Cr Belarouzidad
Niliangalia ule mpira ndio maana nasema hana mpira wa kumsumbua.Belouizdad alifungwa na Medeama mechi ya kwanza
Kiufupi ni kwamba katika group D zile timu ndogo zote zimemaliza mechi zao nyepesi.Na Yanga? Maana usishangae Med bado anawaza CR amfunge Yanga na yeye atafute P3.
Ndio maana nikasema kama mechi itaisha kwa sare, basi mechi zitakazofuataNiliangalia ule mpira ndio maana nasema hana mpira wa kumsumbua.
Goli la pili la Medeama halikuwa halali kwasababu mchezaji wa Medeama aliunawa mpira na wachezaji wa Cr Belarouzidad walisizi wakijua refa atapuliza filimbi
Ndio maana nikasema kama mechi itaisha kwa sare, basi mechi zitakazofuata
Yanga vs Belouizdad
Na Medeama vs Al Ahly zitatoa taswira ya hili kundi. Timu zote nne mpaka sasa kila mmoja anayo nafasi ya kufuzu
Madema mechi ya kwanza alimkalisha Belouizidad.Kiufupi ni kwamba katika group D zile timu ndogo zote zimemaliza mechi zao nyepesi.
Wakati timu kubwa wamebakisha mechi nyepesi.
Medeama kumfunga CR Belouzidad itakuwa maajabu ya soka.