ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kila mtu ashinde kwakeMajini FC
Yanaomba CRB Afungwe....Sio poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu ashinde kwakeMajini FC
Yanaomba CRB Afungwe....Sio poa
Al Ahly mara ya mwisho kucheza mechi ni mwaka janaUkiwatizama Al Ahly wachezaji wake key player amewapumzisha ,ila huisi utofauti na hapo unaweza ukakuta wametwanga mechi nyingi za ligi. Sasa njoo kwetu huku....... viporo juu ya viporo halafu baadae wakipangiwa mechi mfululizo wanaanza kulalamika.
Huhisi utofauti wakati wanapelekewa moto?kwa taarifa yako,Al Ahly wana viporo 6,nenda kaangalie msimamo wa ligi ya MisriUkiwatizama Al Ahly wachezaji wake key player amewapumzisha ,ila huisi utofauti na hapo unaweza ukakuta wametwanga mechi nyingi za ligi. Sasa njoo kwetu huku....... viporo juu ya viporo halafu baadae wakipangiwa mechi mfululizo wanaanza kulalamika.
Basi kikosi chao kipo vizuri, mimi nilizani leo CRB kapata kitonga.Al Ahly mara ya mwisho kucheza mechi ni mwaka jana
Wachezaji wake wamecheza mechi za AFCON hawakuwa wamelala nyumbaniAl Ahly mara ya mwisho kucheza mechi ni mwaka jana
Nimezungumzia timu ya Al Ahly, sijazungumzia wachezajiWachezaji wake wamecheza mechi za AFCON hawakuwa wamelala nyumbani
timu ni wachezajiNimezungumzia timu ya Al Ahly, sijazungumzia wachezaji
Belouizdad kushinda au walau kutoa sareMatokeo yaweje ili Yanga asipite kwenda Robo? Nijuze
Wakiwa pamoja, wakiwa separate haitwi timu mzee.timu ni wachezaji
Usichangaye mambo Al Ahly ana jezi nyeusiAl hly wameanza kwa kasi kidogo wapate goli.
Kweli? Basi kipindi cha kwanza chote nlikuwa nimechanganya.Usichangaye mambo Al Ahly ana jezi nyeusi
Matokeo ya sare bado inaweza ikawapa matumaini Yanga, endapo watashinda hapa Dar vs BelouizdadBelouizdad kushinda au walau kutoa sare
Ndio hivyo mzeeKweli?
Dah wewe jamaa duh ulikuwa vise versa haswa. PoleKweli?