DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Yanga analiwa pumbuh mechi zote mbili zilizobaki....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapiga Ramli Mnateseka Sana Badala Uwaze Asec Mimosas Unaweweseka Na Game Za Young Africans Mabingwa Wa KihistoriaYanga analiwa pumbuh mechi zote mbili zilizobaki....
Yanga msijisumbue ,safari yenu imeishia hapa.Nyie ni timu Changa sana kwenye Caf Champions leagueMechi ni saa 4 usiku mungu ibariki Ahly ungana nami kwa update za mechi hii
YallaYaAhly
View attachment 2905450
Wewe ndiye unatamani iwe hivyo, ila mpira haupo hivyo kama hesabu za matikiti. Tunajua Yanga ikipita utaumia, ila kundi kila mtu ananafasi na kwenye mpira lolote linawezekana.Mechi imeisha kama nilivyotabiri.
Kumbukeni Yanga hawezi kumfunga CRB kwa tofauti ya goli 3 (na wakifanya mchezo wanaweza kupoteza vile vile). Wakisema wacheze kwa kuzitafuta goli nyingi, pakacha la kina Mwamnyeto nalo litakuwa linavuja.
Kwa maana hiyo hata akimfunga katika mechi ijayo, CRB bado ana uhakika wa kumfunga Medeama mechi ya mwisho. Yanga hawezi kumfunga Al Ahly kwao katika mechi ya mwisho, hilo haliwezi kutokea.
Kwa hiyo, baada ya mechi za mwisho hata Yanga na CRB wakilingana points, wataangalia kwanza walivyokutana aggregate inasomaje.
Hayo ndiyo mahesabu.
Goli tatu za nini?Al Ahl hata on target hakupata. Halafu Gwede Gwede afunge goli 3? Haaa haaa ingizeni majini yacheze
Zingatia HTH na GDGoli tatu za nini?
Kwa sababu CRB waliwafunga 3, msipofunga 3 inabidi mshinde na mpate sare Cairo dhidi ya Al Ahly mahesabu ambayo ni magumu na hayana uhalisia.Goli tatu za nini?
Kwanini unasema kupata sare Cairo ni mahesabu magumu na yasiyo na uhalisia?Kwa sababu CRB waliwafunga 3, msipofunga 3 inabidi mshinde na mpate sare Cairo dhidi ya Al Ahly mahesabu ambayo ni magumu na hayana uhalisia.
Wewe ni Mungu? Au ni Shekh Yahaya? Mpira sio mchezo wa kutabirika kirahisi hivyo, kwani beki ni Mwamnyeto tu hakuna wengine? Ni swala la aporoach tu ta mchezo kama wataingia kwa kucheza kwa nidhamu hiyo sare wanapata vizuri tu.Yanga safari ndio imeisha, hata wakishinda wiki ijayo dhidi CRB bado hawana uwezo wa kutoa draw na Al Ahly Cairo, beki Mwamnyeto Maguire, Cairo lazima wachomeshe tu.
Ni mpaka point zilingane na nafasi ya Yanga kufanya point zisilingane wanayo kwasababu kuna game mbili zimebakia ambazo anatakiwa amfunge CRB kisha atafute sare MisriZingatia HTH na GD
Yaani humu mmekazana na Yanga utafikiri nyie mmeshakata tiketi. Mnatakiwa mpate sare Ivory coast au mshinde. Mkifungwa na Asec halafu Wydad akishinda dhidi ya Galaxy, shughuli yenu itakuwa inaelekea ukingoniUto ni kama mtu aliyepakwa mafuta ya makalio halafu bado anajifanya hajui anataka kufanywa nini
Uto ni kama mtu aliyepakwa mafuta ya makalio halafu bado anajifanya hajui anataka kufanywa nini
Bila shaka you are speaking from experienceUto ni kama mtu aliyepakwa mafuta ya makalio halafu bado anajifanya hajui anataka kufanywa nini
Goli tatu za nini wewe mhasibu feki,Al Ahl hata on target hakupata. Halafu Gwede Gwede afunge goli 3? Haaa haaa ingizeni majini yacheze
Kipindi Yanga anafikishana matuta na Al Ahly mjini Cairo ulikua bado upo kwenu Kakonko?Yanga safari ndio imeisha, hata wakishinda wiki ijayo dhidi CRB bado hawana uwezo wa kutoa draw na Al Ahly Cairo, beki Mwamnyeto Maguire, Cairo lazima wachomeshe tu.