FT: CR Belouizdad 0 - 0 Al Ahly FC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 16.2.2024

FT: CR Belouizdad 0 - 0 Al Ahly FC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 16.2.2024

Mechi imeisha kama nilivyotabiri.

Kumbukeni Yanga hawezi kumfunga CRB kwa tofauti ya goli 3 (na wakifanya mchezo wanaweza kupoteza vile vile). Wakisema wacheze kwa kuzitafuta goli nyingi, pakacha la kina Mwamnyeto nalo litakuwa linavuja.

Kwa maana hiyo hata akimfunga katika mechi ijayo, CRB bado ana uhakika wa kumfunga Medeama mechi ya mwisho. Yanga hawezi kumfunga Al Ahly kwao katika mechi ya mwisho, hilo haliwezi kutokea.

Kwa hiyo, baada ya mechi za mwisho hata Yanga na CRB wakilingana points, wataangalia kwanza walivyokutana aggregate inasomaje.

Hayo ndiyo mahesabu.
Wewe ndiye unatamani iwe hivyo, ila mpira haupo hivyo kama hesabu za matikiti. Tunajua Yanga ikipita utaumia, ila kundi kila mtu ananafasi na kwenye mpira lolote linawezekana.
 
Yanga safari ndio imeisha, hata wakishinda wiki ijayo dhidi CRB bado hawana uwezo wa kutoa draw na Al Ahly Cairo, beki Mwamnyeto Maguire, Cairo lazima wachomeshe tu.
 
Yanga safari ndio imeisha, hata wakishinda wiki ijayo dhidi CRB bado hawana uwezo wa kutoa draw na Al Ahly Cairo, beki Mwamnyeto Maguire, Cairo lazima wachomeshe tu.
Wewe ni Mungu? Au ni Shekh Yahaya? Mpira sio mchezo wa kutabirika kirahisi hivyo, kwani beki ni Mwamnyeto tu hakuna wengine? Ni swala la aporoach tu ta mchezo kama wataingia kwa kucheza kwa nidhamu hiyo sare wanapata vizuri tu.
 
Yanga safari ndio imeisha, hata wakishinda wiki ijayo dhidi CRB bado hawana uwezo wa kutoa draw na Al Ahly Cairo, beki Mwamnyeto Maguire, Cairo lazima wachomeshe tu.
Kipindi Yanga anafikishana matuta na Al Ahly mjini Cairo ulikua bado upo kwenu Kakonko?
 
Back
Top Bottom