Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Simba tu ambaye ni mkubwa alikula 5 nyumbani kwake. Luizdad atakula least 2 za mkwezi mchana kweupe kabisa. Ili mseme wabovuHaifungi goal kule. Iishe sare kivipi yaani? Mnajikuta tu mnajua sana mnafikiri ile na nbcl au uwanja wenu nyumbani na ugenini
Kuna jamaa aliniambia Bakari Nondo ni mrefu ila haruki mipira ya juu. Tuombe leo apambane yeye na timu nzima.Wakuu, naona kama marking ya Bakari Nondo kuna namna imepungua, sio kisiki kama msimu uliopita na mwanzoni kwa msimu huu.
Ile mechi ya Stars kulikuwa na makosa yake mengi tu, nimepata hofu juu yake sana na ni moja kati ya wachezaji wangu pendwa pale kikosini.
Au ni wasiwasi wangu tu?
Asanteeeee!๐๐ช๐ช!Ful time itasoma
Beluizdad 0 yanga 2
Wakuu, naona kama marking ya Bakari Nondo kuna namna imepungua, sio kisiki kama msimu uliopita na mwanzoni kwa msimu huu.
Ile mechi ya Stars kulikuwa na makosa yake mengi tu, nimepata hofu juu yake sana na ni moja kati ya wachezaji wangu pendwa pale kikosini.
Au ni wasiwasi wangu tu?
Hiki ndio nilikiona kwenye ile game ya Stars, kuna mpira ulipigwa yeye alikuwa kwenye nafasi nzuri kama angeruka angeepusha madhara ya goli.Kuna jamaa aliniambia Bakari Nondo ni mrefu ila haruki mipira ya juu. Tuombe leo apambane yeye na timu nzima.
Na baba yako akaenda kulipia ADA shuleni?namshauri akadai hela zakeHiyo imeandikwa tulimla Tano, Simba sport clubs huu ni unyama sana
๐๐๐Mshindwee๐ช๐๐๐
Tulia makolo wewe uone mpira badaeHaifungi goal kule. Iishe sare kivipi yaani? Mnajikuta tu mnajua sana mnafikiri ile na nbcl au uwanja wenu nyumbani na ugenini
Safe option ni double chance ya yangangoja niandae keka kuhusu yanga
[emoji3][emoji3][emoji3]Nakumbuka nilivyokuwa mdogo nikienda uwanjani kufatilia mechi za chama langu la Belouzdad, historia inasema hizi mechi za ijumaa huwa tunaua kwa goli nyingi sana.
Kila la heri kwa wanangu CR Belouzdad
Kwa kweli Rage apewe PhD ya heshimaKwahiyo zinachezwa mechi mbili tu? Ujinga ni mzigo mkubwa sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mpigweee nawaombea kichapo kikali mpk akili za mabango zikae sawa...
Za ndaaani kina Bacca na Mwamnyeto waliahidiwa lift na Morocco baada ya mechi ya Stars ili wawahi Algeria kwa mechi ya leo. Ndiyo maana hawakuwa wanakaza sana kama kawaida yao na hata wakati mwingine walikuwa wanataka kuchomesha.Wakuu, naona kama marking ya Bakari Nondo kuna namna imepungua, sio kisiki kama msimu uliopita na mwanzoni kwa msimu huu.
Ile mechi ya Stars kulikuwa na makosa yake mengi tu, nimepata hofu juu yake sana na ni moja kati ya wachezaji wangu pendwa pale kikosini.
Au ni wasiwasi wangu tu?