georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,875
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], ndiyo hivyo tena,Mjukuu niwache!
Hata salamu yako siitikii mjukuu [emoji51]
Nije huku Kalpana akiniona je? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
View attachment 2824243
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], kimyaNyie nichokozeni tu. Kitakachowapata hata Shadeeya na Antonnia watakuja kuwashangaa [emoji51][emoji51][emoji51]
View attachment 2824253
Lini tuanze darasa..?I can , karibu mkuu
Kesho usiku.Lini tuanze darasa..?
Wewe tu mkuuLini tuanze darasa..?
Shosti kumbe we mwanasimba mwenzangu lol ok3G bila mnara.
Tumeyatunza je bado unaendelea kutushauri tuendelee kuyatunza.?
Utopolo shida sana nyie.!
Ni sab aaaHivi 7 kwa kiarabu inaitwaje vile!! Kuna watu 7 inawahusu, sina sababu ya kuwataja maana wanajifahamu!!
Ahsante mtani, naona jana mmefurahi wenyewe[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waliojiamini wakapigwa 3Counter ni mchezo wa wasioweza/wasiojiamini
πππBaada ya yanga kupigwa 3g na CRB jana, habari mpya ni kwamba Gamond yupo hospitali yaani kawa mental fresh. Kila mara anatamka buenos aires, bueno aires.
Sasa, Shida ni kwamba madaktari wanaomtibu hawaelewi anaposema bueno aires anataka hewa safi au anataka kurudi nyumbani kwake Bueno Aires, Argentina.
kama bao tatu tu mtu anakuwa mwehu, akipigwa mkono je?
πππ€£π€£π€£Leo tunapiga kwenye mshono
Harufu ya bleach itawalevya Waarabu, gongowazi watapata sare ya kuvaa PasakaLeo tunapiga kwenye mshono
Ha ha haa,tumepakazaLeo tunapiga kwenye mshono
Leo ndala ndio watajua ugumu wa kufika robo fainali ya champions league.Galaxy atajuta katika kipindi chote cha maisha ya soka.
Tunamsubiri kwa hamu
Hahah kichwani wanamuiga Amber Rutty kupakaaaa kabichiiiLeo ndala ndio watajua ugumu wa kufika robo fainali ya champions league.