FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Baada ya yanga kupigwa 3g na CRB jana, habari mpya ni kwamba Gamond yupo hospitali yaani kawa mental fresh. Kila mara anatamka buenos aires, bueno aires.
Sasa, Shida ni kwamba madaktari wanaomtibu hawaelewi anaposema bueno aires anataka hewa safi au anataka kurudi nyumbani kwake Bueno Aires, Argentina.

kama bao tatu tu mtu anakuwa mwehu, akipigwa mkono je?
 
Baada ya yanga kupigwa 3g na CRB jana, habari mpya ni kwamba Gamond yupo hospitali yaani kawa mental fresh. Kila mara anatamka buenos aires, bueno aires.
Sasa, Shida ni kwamba madaktari wanaomtibu hawaelewi anaposema bueno aires anataka hewa safi au anataka kurudi nyumbani kwake Bueno Aires, Argentina.

kama bao tatu tu mtu anakuwa mwehu, akipigwa mkono je?
😂😂😁
 
Back
Top Bottom