georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,875
Baada ya yanga kupigwa 3g na CRB jana, habari mpya ni kwamba Gamond yupo hospitali yaani kawa mental fresh. Kila mara anatamka buenos aires, bueno aires.
Sasa, Shida ni kwamba madaktari wanaomtibu hawaelewi anaposema bueno aires anataka hewa safi au anataka kurudi nyumbani kwake Bueno Aires, Argentina.
kama bao tatu tu mtu anakuwa mwehu, akipigwa mkono je?
Sasa, Shida ni kwamba madaktari wanaomtibu hawaelewi anaposema bueno aires anataka hewa safi au anataka kurudi nyumbani kwake Bueno Aires, Argentina.
kama bao tatu tu mtu anakuwa mwehu, akipigwa mkono je?