Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Hyo ya kaleee.leta Bango jipya kaka.wwarabu anasema thalathaa yaani 3 ๐๐
Bango jipya hilo hapo ulipokula 3 kwa mkapa last season
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo ya kaleee.leta Bango jipya kaka.wwarabu anasema thalathaa yaani 3 ๐๐
Bingwa wa losers alimfunga mwanaumeUto mwingine huyu hapa!! analinganisha kombe la losers/wavulana na la wanaume!!.
Belouzidad si wanepiga counter tu,wamecheza mpira gani!?..Bora hata marumi walichezaHakuna marumo gallants humo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman nacheka km chiziTulikuwa tumeyapania sana maarabu ndo maana yameweza kupindua meza [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2824281
Kwan Yanga counter hawaziwezii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Belouzidad si wanepiga counter tu,wamecheza mpira gani!?..Bora hata marumi walicheza
Counter ni mchezo wa wasioweza/wasiojiaminiKwan Yanga counter hawaziwezii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si hadi kiwepo sa.Mjifunze kwa mtani leo
Usicheke mkuu, maumivu ya kufungwa ni makali ujue, waulize Simba (5G)[emoji3]
Hamna uzalendo kabisa mnafurahia kipigo cha wa Tz wenzenu, shame on you Simba๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi ni simba ila jana mlistahili mpate kichapo kile ili mtulie sasa
Tuhurumie mbavu zetu, maana si kwa kutuchekesha huko!! msimamo kabla ya mechi kuna mtu kawekwa mkiani!!View attachment 2824116
Msimamo wetu, tuliweka kabla ya mechi na tutaendelea kila baada ya mechi.
Msimamo ni uleule wa 1998![]()
![]()
![]()
Hamna uzalendo kabisa mnafurahia kipigo cha wa Tz wenzenu, shame on you Simba[emoji3]
Yule Monastir ni binamu sasa leo wamekutana na mjomba mwenyewe๐๐Walikutana na Monastir wakasema sisi tuna uzoefu na waarabu tulimfunga kwao, achana na wale huyo ndo mwarabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtalala na viatu , subiri muone๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yanga nawapenda wakiwa club bingwa ila wakorudi kwenye league yetu uadui unaendelea!!!! Na shindwa kuwacheka maana sijui leo tunakutwa na lipi[emoji23][emoji23]
Mechi ya super cup huwa haina umuhimu wowote!! it is by the way!Bingwa wa losers alimfunga mwanaume
Swahiba upo ๐๐Si hadi kiwepo sa.
Usiniambie hii ni kweli?
Kweli nyie kilabu bora cha POMBE za kienyejiBado sisi ni Clabu Bora ya 3 Afrika.
Tunamtaka Mamelodi Sundown
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Nipo mkakaUpo mrembo