FT: Dodoma Jiji 0-2 Yanga / Uwanja wa Jamhuri / Dodoma / Ligi Kuu Bara

Bahasha za kaki.
Hakuna cha bahasha, kipa alikuwa na uwezo hata kupishana na mpira akaruka kiushahidi.ili aipatie goli yanga. Lakini ukiangalia intention yakr ilikuwa ni kuokoa. akaupanchi mpira. Wakati anaupanchi ukawa bado upo golini na una kasi. Akaupanchi tena kuutoa nje ndipo ukagonga mwamba ukaingia nyavuni
 
Hapo Kipa money in the bank magoli gani hayo hata mtoto hafungwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…