Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Achana na mbumbumbu wamevurugwaKwani mnabosema kipa wa dodoma kapewa kibunda .
Vipi Navas alokua kipa wa liverpool zile goli alizopigwa na madrid fainali nae alipewa kibunda??
Acheni kutafuta visababu makolo, tushamlamba mtu 2 kavu.
IMEISHAA IYOO.
Afadhali umejikaza ukaja na wazo lako peke yako. . 🤣🤣PCCB wachunguze hii mechi,kipa kaacha goli wazi kabisa
Sijui nini kinawaumiza 🤣🤣Na nyie jumatano si mnacheza na tawi lenu.
🤣🤣Afadhali umejikaza ukaja na kauli ya peke yako. 🤣🤣
Kwani kocha wa sasa wa Dodoma Jiji FC Masoud Juma Irambona si mlikuwa naye Msimbazi?PCCB wachunguze hii mechi,kipa kaacha goli wazi kabisa
Muamala unafanya kazi,, Goal keeper alipewa ratio kubwa ya mgaoNdugu Dodoma jiji umetumiwa sh ...kutoka GSM muamala number 87GGJSVDG78 . Salio lako jipya ni....
Mimi sisikilizi wachambuzi naangalia mwenyewe replay ndo najua kilitokea nini.mimi mwenyewe mchambuzi.[emoji16][emoji16] Mkuu unaskiliza wachambuzi wa azam unapaste tu.
Fanya kuwapa credit bas wachambuzi wa azam.
Si kama huyu aliye tunguliwa na Balama Mapinduzi,naye alichukua mgao mkubwa.Muamala unafanya kazi,, Goal keeper alipewa ratio kubwa ya mgao
Mnapenda kweli kuona Yanga ikipata sare mfululizo, halafu na nyinyi mpate ushindi! Ikishinda huwa mnateseka kweli.Utopolo kubahatisha, kuvizia.. ubingwa wa kimasihara
Mbumbumbu huyo! Ni mwepesi kusahau.Si kama huyu aliye tunguliwa na Balama Mapinduzi,naye alichukua mgao mkubwa.
Utakuwa na PhD ya umbumbu wewe, mechi ya Mbeya City na Mtibwa makipa haohao walipewa sh ngapi? Maana walijifunga..... usijali subiri soon utatetema Mayele akifungaMuamala unafanya kazi,, Goal keeper alipewa ratio kubwa ya mgao
Toa mahaba Yako,jikite kujadili mpira!Kwani wachambuzi michongo tayari wameshachambua ? Sio kesho kazi ya kuchambua ?
Aliandika kabla hata ya mapumziko[emoji16][emoji16] Mkuu unaskiliza wachambuzi wa azam unapaste tu.
Fanya kuwapa credit bas wachambuzi wa azam.
Mkuu yanga inaogopeka kuna kocha huko anasema haikustahili tinga nusu fainal anaomba acheze na geitaUlitegemea timu ya mavunde iifunge Yanga? Ndo maana kipa anajifunga. Hapo ni maigizo tu