Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani ni leo tu, huwa natumia nikiwa mbali na nyumbani.. na haikuwa na shida kwa wakati huoAzam Max ishagakufa kifo cha mende
Labda sasa mi ilinishindaga nikafutaNadhani ni leo tu, huwa natumia nikiwa mbali na nyumbani.. na haikuwa na shida kwa wakati huo
Bora aondoke Hana maajabuKibabage yuko Uto kwa mkopo
Ameingia baridiMzizeeeeeeee
We unaangalia game gani??? Huoni kosa kosa hizoDodoma waliotewa tu
Anaanguka mwenyewe kama masele barOkrah kashakula kisungura
hiyo moja tu ya Mzize na Okra?We unaangalia game gani??? Huoni kosa kosa hizo
Ipo kwa hewaAzam hawaonyeshi hii game kupitia azam max..??