Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndipo napoona Gamondi aliona mbali kuja na surprise ya mkude dhidi ya Mamelodi.Sure boy ananyanyasika sana
Mi naona Mzize tumpeleke Burnley kwa mkopo akikomaa atarudi.Mzize Usituangushe leo
Uwanja pia ni mbovu.Ila Leo mpira haujawa mzuri. Ni kama papatu papatu tu.
Labda uchovu
Hivi hua mnadhani jina Master Gamondi lilikuja from no where tu!Inashangaza,
Ngoja anyooshwe
Nyie jana mlihongwa na nani kutolewa na timu yenye wachezaji 10Unajifungaje kirahisi hivyo
Tulia mzee jana umepigwa SITA!!HT
Uto waliotea tu lile goli
Ila shabiki wa simba kushabikia yanga hapa unateseka kinoma.HT
Uto waliotea tu lile goli
Papatu Papatu ipo kwa Dodoma jiji au 🐸🐸Ila Leo mpira haujawa mzuri. Ni kama papatu papatu tu.
Labda uchovu
1-1Ila shabiki wa simba kushabikia yanga hapa unateseka kinoma.
Waliopiga sita wala hawkumbushii hizo sita, Ila 🐸🐸sasa 🤣🤣Tulia mzee jana umepigwa SITA!!