Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,487
- 3,978
FTDk ya ngapi huko wadau
1-2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FTDk ya ngapi huko wadau
Hi ni upuuzi wa uelewaTunapaswa kuwashukuru sana Wachezaji wa Timu ya Yanga kwa kucheza kwa uzalendo na kuzuia kufungwa kwa Timu ya Taifa
Hakika Mabeki wa Taifa Stars yaani Bakka, Mwamnyeto na Dickson Job wamefanya kazi kubwa sana
Wameamka mwishoni wakakiwasha.Once again japo sijatazama mechi ila siwezi kuacha kuioongeza timu kwa matokeo mazuri.
Kwani hata inapopata matokeo mabaya huwa hatuachi kukosoa.
Muite Kaka yako mwasibu aweke msimamo ili uone chama lako ni la ngapi. Mmetunahatisha sisi Guinea leo.Tunaomba msimamo wa kundi
Bora kwa mchepuko hata kesho atarudiNa mchepuko au
Apunguze MapepeKongole kwa kipa nambari moko kuzuia michomo....
Timu ni Uganda tu.Nizipongeze Timu za Afrika Mashariki.
Zinatisha sana.
Kaa kwa kutulia utopolo..si kila mtu anavutia upande wakee...😃😃😃Wala shida yetu sio Beki hapo unaleta Ukolo.
Hatuna shida ya Defense sisi.
Tunashida kubwa kwenye Kiungo
Duh wenzako wasema bora alivo kufa kuliko michepukoBora kwa mchepuko hata kesho atarudi
Rwanda kutoka 0-0 na Kina Osmeh wamejitahidi sana.Timu ni Uganda tu.
Mimi sio Utopolo.Kaa kwa kutulia utopolo..si kila mtu anavutia upande wakee...😃😃😃
Labda bacca mtoe mwamnyeto hapo..Mimi sio Utopolo.
Ali amesaidiwa sana na Ukuta wa akina Bacca
Kaka kapoaaaaaaa kama maji..😃😃Muite Kaka yako mwasibu aweke msimamo ili uone chama lako ni la ngapi. Mmetunahatisha sisi Guinea leo.
😂😂😂😂 katuwezaaaaMOROCCO kasema nyie wabara michogo wote majinuni na hataki asifiwe